Ipatie title hii picha ya Pinda na Mdee

misnomer

JF-Expert Member
Apr 13, 2011
200
69
Tia maneno hapo

04_11_t4js4x.jpg
 
MDEE: Mheshimiwa PM vipi uliidaka ile ya MP Luhaga Mpina kuchapia leo?
PINDA: Duh ile ya mh.Mpina ilikua kali ndo maana Madamuspika nae alisita siulisikia zile "ZE Ze " zake
MKUCHIKA: We unadhani kwanini tumeleta mswaada wa katiba kwenye ile lugha?
 
Pinda: Duuu, naona keshawaka, ngoja nijaribu kupeleka kono nisikilizie reaction kwanza

IMG_6368.JPG

Pinda: Kapenda, unasemaje Waziri?

Mkuchika: usimlegezee, mbishi mbishi huyo, mpandishie gia za siasa za miafaka kwa sana kwanza
 
Pinda: Duuu, naona keshawaka, ngoja nijaribu kupeleka kono nisikilizie reaction kwanza

IMG_6368.JPG

Pinda: Kapenda, unasemaje Waziri?

Mkuchika: usimlegezee, mbishi mbishi huyo, mpandishie gia za siasa za miafaka kwa sana kwanza

Pinda...." NISINGEKUWA MZEE......NINGE.......!! POTELEA MBALI NIITWE FATAKI"
 
attachment.php

Mdee: usilie tena siku nyingine eeeh!
Pinda: Kama sina point ntatokaje hehe
Waziri: kweli eh eh eh ubunifu mzuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom