Mto Mpiji wenye chanzo chake kutoka wilaya ya Kisarawe kupitia, Makurunge, Kiluvya, Kibaha, wilaya ubungo kupitia Mpiji magoe, Mabwepande, Bunju na Mbweni serikali inaombwa kwa mara nyingine kwa wema tu mto huo upandwe miti na shughuli za kibinadamu ziratibiwe na kudhibitiwa zisiendelee kusababisha madhara ya mmomonyoko wa udongo.
Ipandwe mti rafiki kwa uhifadhi unyenyevu kwenye udongo na mazingira kwa ujumla