IPAD imezingua icloud

IPAD imezingua icloud

cobra poison

Member
Joined
Sep 14, 2016
Posts
32
Reaction score
12
Kama kuna mtu anajua namna ya kutoa icloud acc aje tuchonge coz sikumbuki chochote.
 
Kama ni ya wifi only. Yaani haitumii laini naweza kuitoa nahitaji masaa48 tu gharama ni tsh100000 nahitani Serial number tu huna ulazima wa kuja ofisini .unalipa baada ya kufunguka .check 0715387545
 
Ukizingua malipo naifunga parmanently . Malipo yanafanyika lisaa limoja baada ya kukujulisha kuwa tayari ipo unlocked. Na wewe kujiridhisha kuwa tayari ipo off. So usiombe kutolewa lock ukiwa pesa huna mkononi
 
Ukizingua malipo naifunga parmanently . Malipo yanafanyika lisaa limoja baada ya kukujulisha kuwa tayari ipo unlocked. Na wewe kujiridhisha kuwa tayari ipo off. So usiombe kutolewa lock ukiwa pesa huna mkononi
Vipi iPad Air cellular inayotumia SIM Card unaweza ifungua?
 
Hapana kiongozi naendelea na tafiti .nimefanikiwa za wifi only kwa sasa. Macbook laptop imac hizo zote hamna shida natoa
 
Kama ni ya wifi only. Yaani haitumii laini naweza kuitoa nahitaji masaa48 tu gharama ni tsh100000 nahitani Serial number tu huna ulazima wa kuja ofisini .unalipa baada ya kufunguka .check 0715387545
pesa ipo ila haiwezi kuja kuzingua tena na serial no ntazipataje? na huo mpunga haupungui?
 
Serial number ipo nyuma ya ipad upande wa chini imeandikwa kabisa serial no:xxxxxx
 
1474355683953.jpg
 
Back
Top Bottom