Zero One Two
JF-Expert Member
- Sep 16, 2007
- 9,346
- 3,033
mwenye laki 3 na simu ya laki moja namuachia iPad 1. Haijatumika sana. Kwa alie tayali ani PM
ya nini?
Mmmh!!
ipad 1 , specifications zake ziko wapi? inch ngapi ? hard drive ngapi ? os version gani? built in 3G ? picha ? accesories zipi ?
Mkuu mi nina150000
Hiyo hailipi! Bado mpya mpya hii cjaitumia hata zaidi ya miezi 7