PingPong
JF-Expert Member
- Dec 21, 2008
- 926
- 160
Habari zenu wakuu, samahani waheshimiwa kama hili nalotaka kuuliza lilishajadiliwa hapa. Naomba mnisaidie kama kuna madhara yoyote ya kuficha ip address, na kama hakuna ni software au njia gani nzuri inayofaa ili zoezi la kuificha liweze kufanikiwa, shukran.