ip address zinazo sapoti PROXY

ip address zinazo sapoti PROXY

jamani proxy ninazo lakini HOMEPAGE inayotumika kwa sasa sina jamani ....naombeni msaada wenu wakuu....!!
 
yaani nilikuwa nahitaji free site kama vile 0.facebook.com ambazo tulikuwa tukitumia hapo mwanzo........nafkiri kwa sasa umenielewa mkuu

ulikuwa unatumia hapo mwanzo??? wewe tokea ujiunge na Jf hata mwezi haujafika , mwanzo ipi hiyo???
unaonekana una account nyingi hapa JF
multiple usernames are not allowed here.
abide to rules
 
ulikuwa unatumia hapo mwanzo??? wewe tokea ujiunge na Jf hata mwezi haujafika , mwanzo ipi hiyo???
unaonekana una account nyingi hapa JF
multiple usernames are not allowed here.
abide to rules

hawa si ndio wale waliotukatia utamu kipindi kile...sasa katumwa tena
 
yaani nilikuwa nahitaji free site kama vile 0.facebook.com ambazo tulikuwa tukitumia hapo mwanzo........nafkiri kwa sasa umenielewa mkuu

siku hizi hazifanyi kazi we nunua tu bundle, mbona bei ndogo sana.
 
siku hizi hazifanyi kazi we nunua tu bundle, mbona bei ndogo sana.

kufanya zinafanya lakini homepage ninayotumia sasa ni ......
kama kuna mwingine anaye tofauti ani rushie mazee...!!!
 
ulikuwa unatumia hapo mwanzo??? wewe tokea ujiunge na Jf hata mwezi haujafika , mwanzo ipi hiyo???
unaonekana una account nyingi hapa JF
multiple usernames are not allowed here.
abide to rules

ndio nilikuwa nina account hapo mwanzo lakini nilisahau password
sio kwamba mimi mgeni wakuu...!!!
 
ndio nilikuwa nina account hapo mwanzo lakini nilisahau password
sio kwamba mimi mgeni wakuu...!!!

ukisahau password kuna option ya kurecover password, unaweza muandikia invisible kurest password yako via email kwa nini hukufanya hivyo?
 
Tumia homEPAGE 46.137.164.139 AU M.TWITTER.COM ..................I THINK ITS HELPFULL
 
ukisahau password kuna option ya kurecover password, unaweza muandikia invisible kurest password yako via email kwa nini hukufanya hivyo?

jamani mbona unamaswali mengi kwani ww ni polisi....!!!!
 
Tumia homEPAGE 46.137.164.139 AU M.TWITTER.COM ..................I THINK ITS HELPFULL

bora hata wewe lakini washkaji wengine waoga utafikiri wanaishi somalia,Big up mkuu ngoja nianze kuwadondoshea maproxy yanayo support download highspeed na youtube....!!!
 
Tumia homEPAGE 46.137.164.139 AU M.TWITTER.COM ..................I THINK ITS HELPFULL

Proxy hizi hapa

youtube
50.7.98.11(hapa ukihitaji pilau utapata hapa kwenye hii proxy yaani picha za * )
87.106.61.84
63.141.241.219
109.163.231.245
37.157.196.19

download,facebook and highspeed surfing
69.195.138.144
199.180.252.68
27.50.70.134
173.236.175.135

cheki hizo kwanza ukihitaji nyingine utapata....!!!
 
Kweli wewe kichwanazi wenzio washakwambia hazifanyi kazi tena weye unazing'ang'ania nini?
Hizo tarakimu ulizoziweka hapo juu sidhani kama zinakamata channel na hata kama ziko fresh hazimalizi wiki hizo zitakuwa tayari zimeshachacha.
 
Back
Top Bottom