Kaizer Platinum Member Joined Sep 16, 2008 Posts 25,333 Reaction score 17,873 Dec 3, 2011 #21 MTM said: kumbe zinauzwa? Click to expand... hapo sasa.....😛oa
BONGOLALA JF-Expert Member Joined Sep 14, 2009 Posts 16,511 Reaction score 11,913 Dec 3, 2011 #22 Tafuta binti aliye na makuzi ya kijijini,hawa waliokulia sinza tabu tupu mara anaomba simu ya TECHNO pana,kila wiki pesa ya kwenda mwenge kusuka
Tafuta binti aliye na makuzi ya kijijini,hawa waliokulia sinza tabu tupu mara anaomba simu ya TECHNO pana,kila wiki pesa ya kwenda mwenge kusuka