Max Marketer
Member
- Oct 13, 2020
- 46
- 50
Salute once again guys, hope kila mtu yuko vizuri
Well, leo nimekuja kuanza kuelezea mada hii nilosema nitaileta hapa, sababu naamini kuna fursa kubwa sana kwa wafanyabiashara na wajasiriamali kufahamu vizuri MATANGAZO YA FACEBOOK/INSTAGRAM
Ukiangalia kwa biashara na kampuni za wenzetu huko, wanatumia haya matangazo na kupata ROI (return on investment) kubwa sana, wanapata wateja wengi zaidi,mauzo zaidi na kukuza Brand.
Hata hapa kwetu naamini wapo, japokuwa ni wachache, huku wengi naskia wanasema "Tunaishia kupata likes tu, na sio wateja"
Hii inaweza kuchangiwa na vtu vingi, mojawapo ni ufahamu wa jinsi matangazo haya yanavofanya kazi, na ni kwa namna gani uyatumie kutimiza lengo lako (kibiashara, personal etc)
Kama kweli unataka kufanikiwa ktk biashara yako kwa kutumia ads, Lazima ufahamu vitu kama
=> CREATIVE (picha /videos/Graphics) zipi utumie ili kuvutia watu wengi zaidi,
=> AD COPY( maelezo sasa yenye ushawishi baada ya mtu kuona picha/video),
=> HEADLINES zipi utumie kucatch attention
=> PLACEMENTS ZA TANGAZO (wapi tangazo lako uweke mfano newsfeed, stories, messenger etc)..
=> AUDIENCES & TARGETING (watu gani unalenga waone tangazo lako, wapi wasilione,..)
=> CALL TO ACTION (yani mtu akishaona tangazo afanye nini: akupigie, akutumie message whatsapp, ajoin group lako la whatsapp,atembelee website yako/IG,akutumie DM,Apakue app yako nk)
=> BUDGET (uweke bajeti gani ktk tangazo ili kupata results unazotaka, mfano mm tangazo moja tu la dola 5 lilileta mteja wa 60k,..that's 12x return),
Sasa jiulize biashara yako inaweza kufaidika vp kama utaweza kuzingatia vitu vyote hivi
Unaambiwa TEST,DON'T GUESS, ukitaka kupata mafanikio na paid ads
Lakini utatesti vp kama hufahamu hata kidogo?.. Kila sku ww ads zako unafanyia kupitia Instagram kule kule kwenye PROMOTE button
Nmeanzisha series hii, nitakuja kushea hapa all the tips, how to's, na vtu nnavofahamu ktk ulimwengu huu wa social media marketing and paid ads ..VTU AMBAVYO UKIZINGATIA utafanikiwa ktk sponsored ads
STAY TUNED
Naamin wapo wataalam wengine pia watachangia hapa, uzoefu wao na kwa pamoja tutasaidia watu kufahamu na kutumia fursa hii kukuza biashara zao
Aya tuchangamshe mada zaidi
Comment apo chini
-Ungependa kufahamu nini ktk ads?
-Umekutana na changamoto zipi?
- Experience yako ulivopata wateja zaidi kupitia ads
_________________________________
By: Max Marketer TZ
- I BELIEVE IDEAS THAT SPREAD WIN,
- I HELP Businesses WIN by spreading their ideas through - Social media marketing | Content creation (photo & videos) | Graphics
- 0752226475 , ask me anything about marketing your business
Well, leo nimekuja kuanza kuelezea mada hii nilosema nitaileta hapa, sababu naamini kuna fursa kubwa sana kwa wafanyabiashara na wajasiriamali kufahamu vizuri MATANGAZO YA FACEBOOK/INSTAGRAM
Ukiangalia kwa biashara na kampuni za wenzetu huko, wanatumia haya matangazo na kupata ROI (return on investment) kubwa sana, wanapata wateja wengi zaidi,mauzo zaidi na kukuza Brand.
Hata hapa kwetu naamini wapo, japokuwa ni wachache, huku wengi naskia wanasema "Tunaishia kupata likes tu, na sio wateja"
Hii inaweza kuchangiwa na vtu vingi, mojawapo ni ufahamu wa jinsi matangazo haya yanavofanya kazi, na ni kwa namna gani uyatumie kutimiza lengo lako (kibiashara, personal etc)
Kama kweli unataka kufanikiwa ktk biashara yako kwa kutumia ads, Lazima ufahamu vitu kama
=> CREATIVE (picha /videos/Graphics) zipi utumie ili kuvutia watu wengi zaidi,
=> AD COPY( maelezo sasa yenye ushawishi baada ya mtu kuona picha/video),
=> HEADLINES zipi utumie kucatch attention
=> PLACEMENTS ZA TANGAZO (wapi tangazo lako uweke mfano newsfeed, stories, messenger etc)..
=> AUDIENCES & TARGETING (watu gani unalenga waone tangazo lako, wapi wasilione,..)
=> CALL TO ACTION (yani mtu akishaona tangazo afanye nini: akupigie, akutumie message whatsapp, ajoin group lako la whatsapp,atembelee website yako/IG,akutumie DM,Apakue app yako nk)
=> BUDGET (uweke bajeti gani ktk tangazo ili kupata results unazotaka, mfano mm tangazo moja tu la dola 5 lilileta mteja wa 60k,..that's 12x return),
Sasa jiulize biashara yako inaweza kufaidika vp kama utaweza kuzingatia vitu vyote hivi
Unaambiwa TEST,DON'T GUESS, ukitaka kupata mafanikio na paid ads
Lakini utatesti vp kama hufahamu hata kidogo?.. Kila sku ww ads zako unafanyia kupitia Instagram kule kule kwenye PROMOTE button
Nmeanzisha series hii, nitakuja kushea hapa all the tips, how to's, na vtu nnavofahamu ktk ulimwengu huu wa social media marketing and paid ads ..VTU AMBAVYO UKIZINGATIA utafanikiwa ktk sponsored ads
STAY TUNED
Naamin wapo wataalam wengine pia watachangia hapa, uzoefu wao na kwa pamoja tutasaidia watu kufahamu na kutumia fursa hii kukuza biashara zao
Aya tuchangamshe mada zaidi
Comment apo chini
-Ungependa kufahamu nini ktk ads?
-Umekutana na changamoto zipi?
- Experience yako ulivopata wateja zaidi kupitia ads
_________________________________
By: Max Marketer TZ
- I BELIEVE IDEAS THAT SPREAD WIN,
- I HELP Businesses WIN by spreading their ideas through - Social media marketing | Content creation (photo & videos) | Graphics
- 0752226475 , ask me anything about marketing your business