Post M-alone
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 2,945
- 9,497
Nakuambiaje ingia befoward hapo angalia Audi Q7 na Q5 used, halafu nielezee kwa nini Q5 ina bei kuliko, ukishindwa nitafute niweke hapa mwenyewe..Mkuu naona unaruka ruka tu. Hili swali lako haliusiani chochote na mjadala huu.. Naanza kupata shida pia kama unaelewa unachojadili.... Unaelewa maana ya depreciation??
Bei ya Q7 siku zote ni kubwa kuliko Q5.. Iwe mpya au used... Kitakacholeta utofauti hapo ni endapo Q7 itakua imechoka zaidi ya Q5.
Bei ya Landcruiser 0km hizo nilizotuma hapo ni kiasi gani ukilinganisha na RR 0km ya same year??