Introducing New Range Rover Sport

Mkuu naona unaruka ruka tu. Hili swali lako haliusiani chochote na mjadala huu.. Naanza kupata shida pia kama unaelewa unachojadili.... Unaelewa maana ya depreciation??

Bei ya Q7 siku zote ni kubwa kuliko Q5.. Iwe mpya au used... Kitakacholeta utofauti hapo ni endapo Q7 itakua imechoka zaidi ya Q5.

Bei ya Landcruiser 0km hizo nilizotuma hapo ni kiasi gani ukilinganisha na RR 0km ya same year??
Nakuambiaje ingia befoward hapo angalia Audi Q7 na Q5 used, halafu nielezee kwa nini Q5 ina bei kuliko, ukishindwa nitafute niweke hapa mwenyewe..
 
“How Reliable Is a Range Rover?

If you’re considering a Range Rover, you’ll most likely have come across reports of its chequered reliability history. Our investigation concludes that the Range Rover is a below average SUV in terms of reliability, but excels in every other aspect as a luxury SUV."

“According to J.D. Power’s Annual Dependability Study, a report that surveyed 2018 model vehicles over a 3-year period:

The industry average is 121 problems reported per 100 vehicles by owners of a vehicle and brand
Land Rover (Range Rover is a model within the brand) scored 244 problems per 100 vehicles, double the industry average
In your own investigations, you’ll likely uncover reports of owners clocking up more than 200k miles however these types of mileages won’t be achieved easily and without hefty repair bills along the way.”

Hizi pia unaweza sema ni story za vijiweni
Atakwambia za kuambiwa.
 
Nakuambiaje ingia befoward hapo angalia Audi Q7 na Q5 used, halafu nielezee kwa nini Q5 ina bei kuliko, ukishindwa nitafute niweke hapa mwenyewe..
Why They Depreciate

Their unreliability is the biggest and costliest problem. Rovers are expensive on the lot because they are high-performance luxury SUVs. They’re expensive off the lot because they cost an arm and a leg to repair and maintain.

That unreliability means that the cost of maintenance is one of the biggest expenses and least appealing aspects of Land Rover ownership, and likewise the reason it depreciates so quickly.

*****
Hii itakusaidia.
 
Issue siyo hela. Unaweza kuwa na hela na bado gari isikufikishe safari. Ndo maana nilisema tupunguze mahaba. Inaboa kumiliki gari ambayo kila siku unawaza nini kitafuata kuharibika. Leo air suspension, kesho umeme, keshokutwa kingine.
Nimeshamiliki Toyota.

Na hiyo Toyota ilishanifia sensor zaidi ya mara 1 out of nowhere.

Na nimemiliki Benz for 5 yrs haijawahi nifia popote. And it's the most reliable car i have own.

Kwenu reliability ni kuibamiza mapangoni, kutoifanyia service kwa wakati, kifaa kimeharibika unaendelea kutumia bila kukibadili.

Ndo maana nakwambia reliability ni state of mind. Tayari umeshajiwekea Toyota ni reliable na others are not.
 
Nimeshamiliki Toyota.

Na hiyo Toyota ilishanifia sensor zaidi ya mara 1 out of nowhere.

Na nimemiliki Benz for 5 yrs haijawahi nifia popote. And it's the most reliable car i have own.

Kwenu reliability ni kuibamiza mapangoni, kutoifanyia service kwa wakati, kifaa kimeharibika unaendelea kutumia bila kukibadili.

Ndo maana nakwambia reliability ni state of mind. Tayari umeshajiwekea Toyota ni reliable na others are not.

Mimi sijaitaja Benz popote kuwa siyo reliable, tunazungumzia LR RR.
Na sijui kwa nini unaweka assumptions kwenye reality. With the same state of mind, go and own LC and RR, zitumie sawasawa na uone kama baada ya muda, unapata the same reliability. Kama state of mind unamaanisha kujisahaulisha matatizo, i will concur with you and stop arguing
 
Nimeshamiliki Toyota.

Na hiyo Toyota ilishanifia sensor zaidi ya mara 1 out of nowhere.

Na nimemiliki Benz for 5 yrs haijawahi nifia popote. And it's the most reliable car i have own.

Kwenu reliability ni kuibamiza mapangoni, kutoifanyia service kwa wakati, kifaa kimeharibika unaendelea kutumia bila kukibadili.

Ndo maana nakwambia reliability ni state of mind. Tayari umeshajiwekea Toyota ni reliable na others are not.
Incidence yako moja haiwezi kua conclusion mkuu..
Kwahiyo wewe kuharibikiwa sensor unataka tuseme toyota sio reliable car?

Taarifa sahihi zinapatikana kwa kuhoji wamiliki kadhaa ili wakupe experience zao. Nenda kwenye website za reviews huko, watu wanazungumzia changamoto wanazokutana nazo...

Tatizo huku mtu akiongea kitu anaonekana anaponda, hana hela nk. Hakuna asiyependa vitu vya luxury, iwe ni gari, nyumba au kingine chochote..

Ila kuja kulinganisha reliability ya Landcruiser na RR ni kudanganyana.

And yes, reliability unaangalia pia mazingira ambayo unataka kutumia chombo husika kama vile barabara nk.
 
Mimi sijaitaja Benz popote kuwa siyo reliable, tunazungumzia LR RR.
Na sijui kwa nini unaweka assumptions kwenye reality. With the same state of mind, go and own LC and RR, zitumie sawasawa na uone kama baada ya muda, unapata the same reliability. Kama state of mind unamaanisha kujisahaulisha matatizo, i will concur with you and stop arguing
LC na RR ni gari 2 zipo kwenye category tofauti.

RR ni luxury SUV kama zilivyo Bentley, Aston Martin, Rolls Royce, G wagons n.k na LC haipo kwenye hiyo category.

Hao waarabu wa dubai wanaozipeleka jangwani LCs hawazipeleki RR/Bentley/G wagons/RollsRoyce zao.

Kwanini ununue RR uitumie kama unavyoitumia 70 series? Huku unategemea reliability? Chukua hata ile Harrier hybrid/vanguard itumie kama unavyoitumia 70 series tuone kama utaendelea na huo wimbo wa reliability. Unataka unuue RR ukabebee mawe matombo? Au ubebee kifusi mvomero? Au ukavukie mto Rufiji? Halafu unataka reliability.

Toyota mwenyewe anatengeneza gari zake akijua aina ya matumizi yanayoenda kutumika vilevile sawa na kina RR au Ferrari wanavyotengeza gari zao. Features unazozikuta kwenye RR huwezi kuzikuta kwenye LC. Hata zile basic features kama air sunspension.

LC 300 hazitauzwa Ulaya na Marekani kwanini? Na wao wanataka magari reliable? Kwasababu LC hajafika standards za kutembea huko kwao na hawezi ku-compete. Soko ni S. America, Middle East, Africa & Australia.

LC vs RR ni sawa na machungwa vs apples. Dunia mbili tofauti.

Ingekuwa RR sio reliable usingekuta haziuzwi wala kutengenezwa.
 
LC na RR ni gari 2 zipo kwenye category tofauti.

RR ni luxury SUV kama zilivyo Bentley, Aston Martin, Rolls Royce, G wagons n.k na LC haipo kwenye hiyo category.

Hao waarabu wa dubai wanaozipeleka jangwani LCs hawazipeleki RR/Bentley/G wagons/RollsRoyce zao.

Kwanini ununue RR uitumie kama unavyoitumia 70 series? Huku unategemea reliability? Chukua hata ile Harrier hybrid/vanguard itumie kama unavyoitumia 70 series tuone kama utaendelea na huo wimbo wa reliability. Unataka unuue RR ukabebee mawe matombo? Au ubebee kifusi mvomero? Au ukavukie mto Rufiji? Halafu unataka reliability.

Toyota mwenyewe anatengeneza gari zake akijua aina ya matumizi yanayoenda kutumika vilevile sawa na kina RR au Ferrari wanavyotengeza gari zao. Features unazozikuta kwenye RR huwezi kuzikuta kwenye LC. Hata zile basic features kama air sunspension.

LC 300 hazitauzwa Ulaya na Marekani kwanini? Na wao wanataka magari reliable? Kwasababu LC hajafika standards za kutembea huko kwao na hawezi ku-compete. Soko ni S. America, Middle East, Africa & Australia.

LC vs RR ni sawa na machungwa vs apples. Dunia mbili tofauti.

Ingekuwa RR sio reliable usingekuta haziuzwi wala kutengenezwa.
. Aise mnajua kushika watu masikio.. Kwahiyo unataka kudanganya watu hapa sababu ya LC 300 kutouzwa ulaya na Marekani ni ubora . Yani Rx 300 na 350, Rav4 ziuzwe huko alafu LC 300 isiwe na ubora.. Hembu tafuta uongo mwingine... Hembu nipe tofauti ya msingi sana kati ya Harrier na Lexus 300 au 350 coz hizi zote zipo hapa bongo..
Mfano Landcruiser V8 zimeuzwa sana US so unataka kutudanganya matoleo ya nyuma yalikua bora zaidi ya hii??
Gari nyingi hua wanabadilisha majina tu kwasababu ya tabia na mazoea ya consumers.. Mfano fortuner kwa US wanaita 4Runner... Sasa unataka kutudanganya kwamba Fortuner ni bora zaidi ya LC 300? US wametumia hadi Prado... So Prado ni bora kwenye barabara za US kuliko LC 300 . Acheni ujuaji na uongo uongo ili ku justify vitu ambavyo havina msingi...

US watapelekewa version yao kutokana na tabia za walaja
 
LC na RR ni gari 2 zipo kwenye category tofauti.

RR ni luxury SUV kama zilivyo Bentley, Aston Martin, Rolls Royce, G wagons n.k na LC haipo kwenye hiyo category.

Hao waarabu wa dubai wanaozipeleka jangwani LCs hawazipeleki RR/Bentley/G wagons/RollsRoyce zao.

Kwanini ununue RR uitumie kama unavyoitumia 70 series? Huku unategemea reliability? Chukua hata ile Harrier hybrid/vanguard itumie kama unavyoitumia 70 series tuone kama utaendelea na huo wimbo wa reliability. Unataka unuue RR ukabebee mawe matombo? Au ubebee kifusi mvomero? Au ukavukie mto Rufiji? Halafu unataka reliability.

Toyota mwenyewe anatengeneza gari zake akijua aina ya matumizi yanayoenda kutumika vilevile sawa na kina RR au Ferrari wanavyotengeza gari zao. Features unazozikuta kwenye RR huwezi kuzikuta kwenye LC. Hata zile basic features kama air sunspension.

LC 300 hazitauzwa Ulaya na Marekani kwanini? Na wao wanataka magari reliable? Kwasababu LC hajafika standards za kutembea huko kwao na hawezi ku-compete. Soko ni S. America, Middle East, Africa & Australia.

LC vs RR ni sawa na machungwa vs apples. Dunia mbili tofauti.

Ingekuwa RR sio reliable usingekuta haziuzwi wala kutengenezwa.
Hata hao wazungu wenyewe wanakiri kwamba RR sio reliable
 
LC na RR ni gari 2 zipo kwenye category tofauti.

RR ni luxury SUV kama zilivyo Bentley, Aston Martin, Rolls Royce, G wagons n.k na LC haipo kwenye hiyo category.

Hao waarabu wa dubai wanaozipeleka jangwani LCs hawazipeleki RR/Bentley/G wagons/RollsRoyce zao.

Kwanini ununue RR uitumie kama unavyoitumia 70 series? Huku unategemea reliability? Chukua hata ile Harrier hybrid/vanguard itumie kama unavyoitumia 70 series tuone kama utaendelea na huo wimbo wa reliability. Unataka unuue RR ukabebee mawe matombo? Au ubebee kifusi mvomero? Au ukavukie mto Rufiji? Halafu unataka reliability.

Toyota mwenyewe anatengeneza gari zake akijua aina ya matumizi yanayoenda kutumika vilevile sawa na kina RR au Ferrari wanavyotengeza gari zao. Features unazozikuta kwenye RR huwezi kuzikuta kwenye LC. Hata zile basic features kama air sunspension.

LC 300 hazitauzwa Ulaya na Marekani kwanini? Na wao wanataka magari reliable? Kwasababu LC hajafika standards za kutembea huko kwao na hawezi ku-compete. Soko ni S. America, Middle East, Africa & Australia.

LC vs RR ni sawa na machungwa vs apples. Dunia mbili tofauti.

Ingekuwa RR sio reliable usingekuta haziuzwi wala kutengenezwa.

Unayumba sana aisee kwenye harakati zako za kuendelea kutetea RR.

Kwanza kwenye moja ya post zangu hapa niliitaja Lexus ambayo ni version ya Luxury version ya LC (just in case u ataka kufananisha upande wa luxury peke yake). Na nikasema hii ni luxury pia, reliable zaidi kuliko RR, na inakupa value ya hela yako maradufu. Ukweli ni kwamba LC 200, 300 na lexus version zake ni category 1 na RR, usihamishe mada. Hatufananishi na 70 series hapa wala prado.
Tukija kwenye matumizi, wala usilete kitu ambacho hata LR wenye kwenye hili tangazo wanakukana. Hebu anagalia hilo tangazo RR inapitishwa wapi. Halafu wewe unasema mtu akiinunua RR isitumike hivyo, ili tu kuiondoa kwenye mpamabano na LC. Kwa hiyo hapo wanavyoipitisha kwenye matope, maji na mawe walikuwa wanamaanisha nini, labda utusaidie na hapo. Na kumbuka hapa tunaifananisha RR na 300 au 200 huko, sio 70 series. 70 series itapambana na kina defender huko, na kwa hakika story itakuwa ile ile.
Waarabu wanapeleka jangwani LC kwa sababu rahisi tu kuwa ndo gari inayomudu huko, hizo nyingine wataenda kuziacha huko.
LC, Lexus zenye air suspension zipo labda kama huzijui, LC Uingereza hapo zipo tena manual kabisa. Sema tu Ulaya kwa ujumla wanatumia brand nyingi sana za magari.
Mwisho naona umetaka tusifananishe LC na RR, ajabu sana.
 
Unayumba sana aisee kwenye harakati zako za kuendelea kutetea RR.

Kwanza kwenye moja ya post zangu hapa niliitaja Lexus ambayo ni version ya Luxury version ya LC (just in case u ataka kufananisha upande wa luxury peke yake). Na nikasema hii ni luxury pia, reliable zaidi kuliko RR, na inakupa value ya hela yako maradufu. Ukweli ni kwamba LC 200, 300 na lexus version zake ni category 1 na RR, usihamishe mada. Hatufananishi na 70 series hapa wala prado.
Tukija kwenye matumizi, wala usilete kitu ambacho hata LR wenye kwenye hili tangazo wanakukana. Hebu anagalia hilo tangazo RR inapitishwa wapi. Halafu wewe unasema mtu akiinunua RR isitumike hivyo, ili tu kuiondoa kwenye mpamabano na LC. Kwa hiyo hapo wanavyoipitisha kwenye matope, maji na mawe walikuwa wanamaanisha nini, labda utusaidie na hapo. Na kumbuka hapa tunaifananisha RR na 300 au 200 huko, sio 70 series. 70 series itapambana na kina defender huko, na kwa hakika story itakuwa ile ile.
Waarabu wanapeleka jangwani LC kwa sababu rahisi tu kuwa ndo gari inayomudu huko, hizo nyingine wataenda kuziacha huko.
LC, Lexus zenye air suspension zipo labda kama huzijui, LC Uingereza hapo zipo tena manual kabisa. Sema tu Ulaya kwa ujumla wanatumia brand nyingi sana za magari.
Mwisho naona umetaka tusifananishe LC na RR, ajabu sana.
Upo sahihi kabisa mkuu.. Mfano LC 300 wao soon wanapelekewa Lexus Lx 600
 
Engine zao za diesel huwa zinakula mafuta kawaida, za petrol kidogo huwa ziko juu lakini in most cases huwa zina matatizo machache kuliko za diesel
 
. Mkuu kama kitu huwezi kujadili usipende mijadala... Haya mambo yapo wazi kabisa.. Ukijadili kwa mapenzi utaendelea kukwepa kwepa maswali tu kama hivi... Maswala ya kms wewe ndio umeleta huku... Ukiulizwa unakwepa kujibu... Wewe endelea na uzoefu wako wa 0km wengine tuendelee na maneno ya kuambiwa..

Hakuna mahali nimesema tu ni unreliable bila kukupa sababu... Ndio mana nimekuuliza unaelewa maana ya depreciation??

Nimekupa bei za RR hapo ukilinganisha na Landcruiser za kawaida tu... Nikuuliza kwanini RR imeshuka bei kwa haraka namna hiyo ila value ya Landcruiser tena za zamani zaidi bado zipo juu??

Ila naona hujibu... Unakimbilia umiliki....
Sasa hata nikikwambia nimemiliki utajuaje kama ni kweli???

Kwamba ili ujue kitu lazima umiliki?

Mkuu hizo Cruser inabidi ufanye comparison na defender, sio RR Sport.

Tafuta defender ya mwaka huo huo.
 
Mkuu hizo Cruser inabidi ufanye comparison na defender, sio RR Sport.

Tafuta defender ya mwaka huo huo.
Fatilia comments zangu vizuri mkuu, nimeshasema the only reliable gari ambazo Landover walitio ilikua jamii hiyo 110,109 nk.. Ndio maana hata hizi ukitaka used kwa sasa ni ghali kwa mbali sana ukilinganisha na RR ya mwaka huo huo.. Changamoto zake chache ambazo sio tatizo sana ni kuingiza vumbu ndani, hata kama ni mpya na engine kuvujisha oil.
Toleo la Puma walijaribu kufanya maboresho ya muonekano wa ndani ila nje ni kama defender tu tatizo mfumo wa umeme na engine ni kimeo balaa. RR + Descover hapa luxury ila reliability huwezi linganisha na toyota Landcruiser.
 
Back
Top Bottom