IlangiKwetu
Member
- Oct 9, 2014
- 85
- 33
Heshima mbele wadai, masharti ya jumla yapo wazi kwenye tangazo.
Leo kwenye usajili wanakuja na jipya kuwa wanahitaji cheti cha awali cha mafunzo ya udereva.
Wengine magari wamejifunza nyumbani jamani. Ni vema mkizingatia vile vilivyo kwenye masharti ya jumla.
Leo kwenye usajili wanakuja na jipya kuwa wanahitaji cheti cha awali cha mafunzo ya udereva.
Wengine magari wamejifunza nyumbani jamani. Ni vema mkizingatia vile vilivyo kwenye masharti ya jumla.