INTERVIEW YA UALIMU NGAZI YA DEGREE.

INTERVIEW YA UALIMU NGAZI YA DEGREE.

Akuna interview kwa serikali hila binafsi wanakupa mtihani wa somo lako la kufundishia utakalolichagua uhufanye na kuna marks wanatarget ufikie ni hayo tu
Habari ndugu,
Naomba kwa wenye uzoefu na maswali yanayo ulizwa kwenye interview ya kazi ya Ualimu kwa Mwalimu mwenye Degree.
Asanteni sana
Private interview ipo na wakikupa text ukapata chini ya wastani wao unakula bakora ndo unaajiriwa!
 
Kati ya kundi ambalo lilitakiwa lifanyiwe interview yakutosha ni Walimu, Madaktari, Manesi
 
Back
Top Bottom