Mimi ningewakazia macho wanaonifanyia usaili bila kuonyesha kwamba kuna kitu tofauti cha kuabisha kimetokea halafu taratibu namfuta bila kuangalia wakati namtoa, wakati nacheck kiti kilichokalia pande zote ili kuvuta hisia za wananisaili kwamba huenda yule mende nimehisi alikuwa chini ya kiti nilichokalia.:clap2: