Interview uhamiaji

Interview uhamiaji

voyage

Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
9
Reaction score
2
JAMAN WANA JEF, MWENYE TAARIFA NI LINI WATU WATAITWA KUFANYA USAILI UHAMIAJI KWENYE VYEO VYA CONSTEBO NA KOPLO ANIJULISHE, KWA WALE WALIOTUMA MAOMBI MWEZI WA PILI.SHUKRAN!!!!!!!!!!!


:A S-heart-2:
 
We endelea na mambo yako mengne,uhamiaji kama huna refa imekula kwako.
 
Habari za kwenu wanajamvi, naomba mtu anayefahamu address ya uhamiaji/tangazo la kazi la mwisho wa mwezi uliopita anisaidie tafadhali. Shukrani kwa msaada wako
 
Watu walishachaguliwa kitambo ni kweli kabisa kama huna refa sahau kabisa maana watu walikua washachaguliwa kitambo kabla ya ww kuapply! Ww cha msngi ni kutafta tu pengne sahau kabsa kuhusu uhamiaji.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom