Aisee maswali ni ya kawaida tu mkuu General questions hadi hesabu za kujumlisha na kutoa zinakuwepogi, ntahudhuria pia kwa mara nyingine! Ila nikikumbuka tulivokua wengi vile duh
Kwenye intaview ya TRA kulikuwa na watu zaidi ya buku2 ila washkaj walitoboa na sasa wapo mamlakani.. Kikubwa ni kumtanguliza MUNGU na kujiandaa. MUNGU ATUSAIDIE
Aisee mi niliona ngumu ila hata rafiki zangu waliosema nyepesi hawakuitwa hataπ
Haha , mm karibia kila mtu ambae namjua ambae alifanya test pia hakuitwa π
Kwenye intaview ya TRA kulikuwa na watu zaidi ya buku2 ila washkaj walitoboa na sasa wapo mamlakani.. Kikubwa ni kumtanguliza MUNGU na kujiandaa. MUNGU ATUSAIDIE
Aisee mi niliona ngumu ila hata rafiki zangu waliosema nyepesi hawakuitwa hataπ
Haha , mm karibia kila mtu ambae namjua ambae alifanya test pia hakuitwa π