Interview ssra

Interview ssra

monaco

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
2,184
Reaction score
1,779
Wadau habari ya majukumu,Tumesikia kuwa PPF Walishaita,je HAWA SSRA Tayari?
TBS Tunajua bado huwa wanaweka ktk mtandao wao.....
kuna mwenye taarifa na hawa jamaa?
 
Hawa jamaa bwana hata mii sijui wanaita lini mana mda sasa afu nliapply pia.
 
Wameshatoa leo, check utumishi. Interview tarehe 5/7 jumamosi hii
 
Wadau habari ya majukumu,Tumesikia kuwa PPF Walishaita,je HAWA SSRA Tayari?
TBS Tunajua bado huwa wanaweka ktk mtandao wao.....
kuna mwenye taarifa na hawa jamaa?

Fursa zipo nyingi sana, kuna uwindaji pale Katavi National Park, kuna machombo ya dhahabu eneo moja linaitwa Magamba, kuna kilimo cha Mpunga eneo la Maji Moto karibia na kwa akina Pinda Mizengo Kayanza.Na zaidi usafiri ni wa kuosha sana maana kuna treni ya mpaka Tabora kutokea Mpanda na pia barabara ni ya lami tokea Mpanda mpaka Dar es Salaam kwa kupitia Sumbawanga na Mbeya
 
fursa zipo nyingi sana, kuna uwindaji pale katavi national park, kuna machombo ya dhahabu eneo moja linaitwa magamba, kuna kilimo cha mpunga eneo la maji moto karibia na kwa akina pinda mizengo kayanza.na zaidi usafiri ni wa kuosha sana maana kuna treni ya mpaka tabora kutokea mpanda na pia barabara ni ya lami tokea mpanda mpaka dar es salaam kwa kupitia sumbawanga na mbeya

unajbu thread hii au ndoto imekuvamia wakati ukianza kuisoma?
 
mbona husemi kama jina lako umeliona ili tufunge mada?
 
Back
Top Bottom