Ndo zao hao jamaa. Nakumbuka mimi pia niliwahi piga interview yao Western zone, Written tuliitwa 97 afu Oral tukapiga 50 bila kujua wanataka wangapi. Mwisho wa siku wakachukua 6 tuu afu kati ya hao wa5 walikuwa Intern hapohapo branch, then mmoja ndo akaongezwa. Jipe moyo mkuu, you never know ni game of chance kaka ila kaya pia kuomba kwingne you will make it