Deus steven
Member
- Jun 11, 2015
- 53
- 7
Wadau habar zenu,,,,???,,nimetumiwa email ya interview na m.power company,,,,nataka kujua kwa anae jua interview zao zinakuaje ili nipate info b4 iyo siku???,,pia wamesema itafanyika jengo la A3 institution karibu na fire opposite na.vijana building kwa anaejua hii sehemu anijurishe b4 iyo siku coz mm silijui ilo jengo,,,nawsilisha
Ulitaka niandikaje mkuu??,,kwani umeshindwa kuelewa au ulitaka niandikie kilugha cha kwenu ndo ujue nimeandika vizur,,,ebu kuwa mtu mzima na mwenye busara humu watu wako serious sio kila mda ni kuvunja watu moyo shame on u