Interview M-POWER (Off-Grid Electric Coy)

Lakini hlo jina la M-power hawalitumii tena, kuna jamaa yangu anafanya kaz huko amenambia uongozi mzima umebadilika, jina la kampuni na mpaka mafao Kwa wafanya kazi yamepunguzwa. Ngoja nimdodose jamaa vyema afu ntadondosha info hapa.
 
Lakini hlo jina la M-power hawalitumii tena, kuna jamaa yangu anafanya kaz huko amenambia uongozi mzima umebadilika, jina la kampuni na mpaka mafao Kwa wafanya kazi yamepunguzwa. Ngoja nimdodose jamaa vyema afu ntadondosha info hapa.
Inaitwa Zola. Wamefanya restructuring.
 
Hii sindo Mobisol? Au ni tofauti? Maana na Mobisol ipo Arudha pia na wamiliki ni wazungu
 
Hii sindo Mobisol? Au ni tofauti? Maana na Mobisol ipo Arudha pia na wamiliki ni wazungu
Sio Mobisol.. Ni tofauti kabisa.. Zote ni za wazungu. Sisi tumelala tu wanapiga pesa Kwa kutuuzia Jua
 
Sio Mobisol.. Ni tofauti kabisa.. Zote ni za wazungu. Sisi tumelala tu wanapiga pesa Kwa kutuuzia Jua
hawatuuzii jua, wanatuuzia vifaa vinavyobadili radiations za jua kuwa umeme!!!...
ukisema wanatuuzia jua, una maanisha pia TANESCO wanatuuzia maji ya mtera!!!!!!...
 
hawatuuzii jua, wanatuuzia vifaa vinavyobadili radiations za jua kuwa umeme!!!...
ukisema wanatuuzia jua, una maanisha pia TANESCO wanatuuzia maji ya mtera!!!!!!...
Haha.. Kweli walikufundisha vizuri kutafuta wateja
 
Haha.. Kweli walikufundisha vizuri kutafuta wateja
hehehe...be positive, ni knowledge ya kawaida tu hii!!!! ;-) ....
mimi nilifundishwa kutafuta wateja, ila kujua what is happening mpaka umeme unatokea sio mauzo. :-D
 
hehehe...be positive, ni knowledge ya kawaida tu hii!!!! ;-) ....
mimi nilifundishwa kutafuta wateja, ila kujua what is happening mpaka umeme unatokea sio mauzo. :-D
Naelewa nilikuwa nazingua tu mkuu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…