Interview imeshaanza pale maktaba kuu ya taifa

Interview imeshaanza pale maktaba kuu ya taifa

svoca

JF-Expert Member
Joined
Jun 6, 2014
Posts
373
Reaction score
70
Watu zaidi ya 500 yanachuana kwa oral pale maktaba kuu ya Taifa tuwaombee haki itendeke jamani.
 
Sasa hayo majembe yanachuana vip mi sijaelewa au ndio ushamba wangu.
 
vijana hizi interviews zipo tu... zilikuwepo na zitakuwepo

jiandaeni vizuri, pigeni revision ya nguvu, kuweni nadhifu (kuvaa makata kundo, mtindi-nje nk., swagga za kinyaturu nk.) haviwasaidii sana

hata hii typing - typing haina tija saaaana

huu muda ni adhimu na adimu kwenu
 
kwel jamaa mzurulaji ina mana unachangia usichokijua? ka mada hujui tulia sio lazima kila uzi uchangie.
 
Mleta mada ebu kuwa makini. Hili ni jukwaa la watu makini.
 
Majembe mjini mura? Umekuja mjini kurima rami??
 
kwel jamaa mzurulaji ina mana unachangia usichokijua? ka mada hujui tulia sio lazima kila uzi uchangie.

sasa we umeona wapi majembe yanashndana kuwa mkweli kama ndio hvyo siku nyingine uweke vigezo kuwa nani haruhusiwi kuchangia
 
Uuupsi kuna shamba kwa hiyo hayo majembe yamepewa kazi ya kulima tuone lipi litawah kumaliza

doh kwa hiyo yanalima yenyewe bila mtu kweli wonders will never end mshind akipatikana niite
 
hao ni watu 500 waliopita baada ya mchujo hivyo wanagombea nafasi 184 mkuu
 
Asante kwa taarifa kama kuna misunderstanding tusamehane mkuu.
 
vijana hizi interviews zipo tu... zilikuwepo na zitakuwepo

jiandaeni vizuri, pigeni revision ya nguvu, kuweni nadhifu (kuvaa makata kundo, mtindi-nje nk., swagga za kinyaturu nk.) haviwasaidii sana

hata hii typing - typing haina tija saaaana

huu muda ni adhimu na adimu kwenu

NOTE:
Kwenye red ina maana gani unaposema swagga za kinyaturu.

Interview nyingi za bongo formality tu watu washachukuliwa kitaaaambo.

Oral gani watu 500!!!
 
jamani soko la ajira bongo likoje lakini?

mbona tulioko vyuoni tunavunjwa moyo namna hii?

tunaomaliza mwaka/miaka ujao/ijayo mbona tuna shida namna hii aisee?

hata kama ni kujiajiri, si wote wakaoweza, lazima tupate wa kuajiriwa pia ili uzalishaji uendelee!

ngoja mi niendelee kukuza haka ka laki tano, kilimo ndo mpango mzima...
 
Back
Top Bottom