Eti mkuu., we wamekutajia na sehem ama wamekupa tu taarifa ya kujiandaa?
wamenitajia kiongozi, wamesema kwenye ukumbi wa hilux hotel. vp wewe?
Vp wewe unazoefu wa bank,nataka kujua vgezo vyao haswa vya kuita.Mimi nasubiri watakapo tangaza za Southern, maana nilijua tu interview itakua hukohuko Moro.
Nyanda za juu kusini mkuu,Mbeya.
okey, hapo sawa. uliposema southern ni mtwara.
Jaman kwan wanaitaga kwa awamu., mbona me nimeambiwa tu ila cjatajiwa kama nyie
Au nikisema niwapigie nitakua nimedisqualify?
Mbona eastern zone wamepiga., tena kesho watu wanaenda kuminyika