Scenario questions yenye majibu yanayofanana sana yametofautiana kidogo sana so yalihitaji kutumia muda mwingi kusoma na kuelewa swali, swali la grammar likikuepo pia, swali la hesabu pia na computer
Scenario questions yenye majibu yanayofanana sana yametofautiana kidogo sana so yalihitaji kutumia muda mwingi kusoma na kuelewa swali, swali la grammar likikuepo pia, swali la hesabu pia na computer
Ukiona mtihani mgumu basi probability ya kufaulu ni kubwa, kuliko zile unakuta rahisi kiasi wanakatia 90%. Bora hizi hata ukifikisha 50-60% unakua walau una probability ya kuitwa oral/practical.
nina swali mfano taasisi wametoa position nyingi za kazi na watu wamefanya tayari oral mwezi 3 lakni katika position hizo kuna position moja bado hawajafanyiwa interview na Latiba wamepangiwa mwezi wa 6.je pdf la kuitwa kazini kwa hawa ambao washafanya interview je linatoka hadi huyu amalize au linaweza kutoka mda wowote?