INTERNSHIP za chuo kikuu na AJIRA

INTERNSHIP za chuo kikuu na AJIRA

Old Member (Retired)

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2012
Posts
3,401
Reaction score
1,618
Habari wakuu,
Chuo kikuu cha Dar es Salaam kupitia business school kimekuwa kikiwatafutia internship wanafunzi wake katika mashirika mbali mbali zikiwepo banks n.k.... wanaofanikiwa kupata intership hulipwa kiasi fulani cha fedha kila mwezi na chuo hicho, internship huwa ni ya miezi sita. swali langu kwa wazoefu ni kwamba, baada ya wanafunzi hao kumaliza internship ya miezi sita hupata ajira katika makampuni husika waliyofanyia internship???? uwezekano wa kupata ajira sehem uliyofanyia internship ni aslimia ngapi kwa makadilio?
 
mpaka ukachukuliwa kwenda kwenye internship maana yake ni kwamba kuna gape lipo pale hivyo ukifanya kazi kwa bidii na wakakupenda watakuajiri kutokana na sera na sheria za ofisi husika. on the other hand, unaweza ukafanya kazi vizuri ajira zikatangazwa na bado usipewe ajira kutokana na kujuana, i have a friend of mine alifanya internship CRDB mwisho wa siku wanapoajiri jamaa hakuitwa hata kwenye interview. Kwa wenye uzoefu na hizo internship za UDSM atuambie experience yake.
 
Ni kweli nina ndugu yangu yuko CRDB ananiambia huwa wanawapa train huko then ikiisha miezi sita kama unafahamu kazi wanakuchukua.ukiwa unafahamu kazi,100% utapata kazi kama ufahamu 45% utapata kazi.
 
Habari wakuu,
Chuo kikuu cha Dar es Salaam kupitia business school kimekuwa kikiwatafutia internship wanafunzi wake katika mashirika mbali mbali zikiwepo banks n.k.... wanaofanikiwa kupata intership hulipwa kiasi fulani cha fedha kila mwezi na chuo hicho, internship huwa ni ya miezi sita. swali langu kwa wazoefu ni kwamba, baada ya wanafunzi hao kumaliza internship ya miezi sita hupata ajira katika makampuni husika waliyofanyia internship???? uwezekano wa kupata ajira sehem uliyofanyia internship ni aslimia ngapi kwa makadilio?
jitahidi kufanya internship katika mashirika yanaweza kuku ajiri. usijaribu kufanya palepale udsm kama wewe sio MUHAYA maana hawatakuajiri after internship.
Ukipata micro finance, na ma company binafsi ambayo ajira zao hazipitii utumishi nenda kabisa na ufanye kazi kwa nguvu
 
Kuliko kukaa nyumbani nenda kafanye hyo internship imesaidia weng mim nikiwa mmoja wao,watu wameajiliwa pale walipokua wamepata internshp,na wengne hawajaajiriwa hapo bt experience imewafanya wapate kaz sehem ingne baada ya kumaliza ile miez sita,ishukuliwe UDBS
 
Ivi inawezekana ukaandika barua binafsi ya kuomba hyo Internship ukapata ?
 
jitahidi kufanya internship katika mashirika yanaweza kuku ajiri. usijaribu kufanya palepale udsm kama wewe sio MUHAYA maana hawatakuajiri after internship.
Ukipata micro finance, na ma company binafsi ambayo ajira zao hazipitii utumishi nenda kabisa na ufanye kazi kwa nguvu
you sound too ethnic, unaweza kutupa takwimu za wahaya pale udsm
 
you sound too ethnic, unaweza kutupa takwimu za wahaya pale udsm
Mkandala pia aliwahi ulizwa pale mbona kuna wahaya wengi,akasema wana vigezo ndio maana pia wapo pale.
usibishane na mimi coz nimefanya kazi pale na katika kila idara huwez kosa wahaya walio katika nafasi za juu na hawana qualification Wanazotakiwa wawe pale
:A S thumbs_up:NENO LANGU SIO SHERIA
 
kusema ukweli uwezekano wa kupata ajira hususani kwa wanaofanya internship kwenye makampuni ya kiserikali ni mdogo sanaa na mpaka sasa hatujui tatizo lipo wap?
 
Back
Top Bottom