Nicky nicky
Senior Member
- Aug 20, 2011
- 106
- 9
Naomba kufahamishwa kama kuna mtandao wowote wa simu unaotoa unlimited internet kwa masaa fulani kwa sasa.Pia kama kuna njia mbadala naomba kujuzwa. kalibuni.
kuna happy Hour Ya voda .ila mm now days inanikatalia kuunga.. japo jana tu wamentumia sms kua now imekua 199 badala ya 200...... kujiunga n *147*199# ila im not sure kama inakubali.... Pia wajanja night ni sh 500 1gb now days unaunga hata mchana
wajanja night kuunga mchana sawa ila matumizi usiku saa nne
wajanja night kuunga mchana sawa ila matumizi usiku saa nne