Mavindozii
JF-Expert Member
- Oct 20, 2012
- 2,111
- 2,781
Wakuu wa nchi naona sasa network ya airtell imekuwa slow sijui ndio wamezidiwa customers au vipi .au ni mimi mwenyewe nini ?haikuwa hivyo hapo awali was very fast .
Vod sasa ivi ndo wanaoongoza.Mtandao bomba sana tz na vda only
Wambura amang'ana murah, he uguitabhelaKumbe nawe ni team sibandukiimekula kwako karibu halotel
Mbuya mura tarime rebuWambura amang'ana murah, he uguitabhela
Hata mm huku inafika mpaka 2 mb per secInategemea na sehem ulipo...kwangu inagonga adi 1mb per sec sometmz
Haya murah! Olale bhuyaMbuya mura tarime rebu
Haya ambe muraHaya murah! Olale bhuya
Ila sio kwa sisi tuliopo KilimanjaroTigo wapo vizuri zaidi ya hao wote