Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,104
- 53,605
Natumia tigo, bahati mbaya nimefuta settings. Naombeni mnipe hizo settings. Natumia windows phone.
Cc Chief-Mkwawa
Cc Chief-Mkwawa
Last edited by a moderator:
Hii mbona imekataa?
ukishatengeneza hold (gusa bila kuachilia) ile apn kisha click activate
Naomba kuuliza mkuu.
Nimegamia airtel naishi huku pembezoni ya dar, mtandao upo speed ndogo sana. Sasa shida inaweza kuwa nini? Nia yangu nipate speed nzuri muda wote.
Kama Ni 3g na still IPO slow solution Ni kuhama mtandao tu.
Natumia tigo ila mtandao unakatika tu hasa mida ya jioni. Nikahamia airtel shida ni hiyohiyo. Nataka nijaribu voda.
Hata hvyo mi ni mtu wa kusafiri sana, sijui huko mikoani ni mtandao gani umesambaa kuanzia internet had kuwa reachable.
kwa uhakika zaidi kuwa na line ya tigo, voda, airtel na smart. smart dar hawana 3g ila mikoani wanayo 3g haina speed sana ila pia haipo slow around 1mbps hadi 3mbps.