"Internet/Data" maswali ya kujiuliza

mayowela

JF-Expert Member
Nov 2, 2014
2,124
1,744
kwenye ulimwengu huu wa sayansi na teknolojia suala la Internet limekuwa chachu ya kurahisisha kazi,
sehemu nyingi kwenye maofisi utasikia wanasema mtandao uko chini/internet imekata, hata kwenye simu za mkononi tunatumia internet kwa mfumo wa wayalesi au kifurushi, na kifurushi kikiisha huwezi tena kuingia kwenye kurasa ulizokuwa unaperuzi,

maswali ninayojiulizaga kila siku,
Ni kina nani wanauza intaneti..?
mitandao ya simu inanunua kwa akina nani hiyo intaneti..?
Ni nani anapanga vipimo vya intaneti na bei zake..?
kwa nini mitandao mingine ina intaneti ya bei nafuu na ingine ni ghali..?

Mnisaidie mi ni mshamba
 
kwenye ulimwengu huu wa sayansi na teknolojia suala la Internet limekuwa chachu ya kurahisisha kazi,
sehemu nyingi kwenye maofisi utasikia wanasema mtandao uko chini/internet imekata, hata kwenye simu za mkononi tunatumia internet kwa mfumo wa wayalesi au kifurushi, na kifurushi kikiisha huwezi tena kuingia kwenye kurasa ulizokuwa unaperuzi,

maswali ninayojiulizaga kila siku,
Ni kina nani wanauza intaneti..?
mitandao ya simu inanunua kwa akina nani hiyo intaneti..?
Ni nani anapanga vipimo vya intaneti na bei zake..?
kwa nini mitandao mingine ina intaneti ya bei nafuu na ingine ni ghali..?

Mnisaidie mi ni mshamba
naona wote kimya, haya ngoja ni google ili nielewe
 
kwenye ulimwengu huu wa sayansi na teknolojia suala la Internet limekuwa chachu ya kurahisisha kazi,
sehemu nyingi kwenye maofisi utasikia wanasema mtandao uko chini/internet imekata, hata kwenye simu za mkononi tunatumia internet kwa mfumo wa wayalesi au kifurushi, na kifurushi kikiisha huwezi tena kuingia kwenye kurasa ulizokuwa unaperuzi,

maswali ninayojiulizaga kila siku,
Ni kina nani wanauza intaneti..?
mitandao ya simu inanunua kwa akina nani hiyo intaneti..?
Ni nani anapanga vipimo vya intaneti na bei zake..?
kwa nini mitandao mingine ina intaneti ya bei nafuu na ingine ni ghali..?

Mnisaidie mi ni mshamba
swali la kitoto sijapata kuona
 
kwenye ulimwengu huu wa sayansi na teknolojia suala la Internet limekuwa chachu ya kurahisisha kazi,
sehemu nyingi kwenye maofisi utasikia wanasema mtandao uko chini/internet imekata, hata kwenye simu za mkononi tunatumia internet kwa mfumo wa wayalesi au kifurushi, na kifurushi kikiisha huwezi tena kuingia kwenye kurasa ulizokuwa unaperuzi,
maswali ninayojiulizaga kila siku,
Ni kina nani wanauza intaneti..?
mitandao ya simu inanunua kwa akina nani hiyo intaneti..?
Ni nani anapanga vipimo vya intaneti na bei zake..?
kwa nini mitandao mingine ina intaneti ya bei nafuu na ingine ni ghali..?
Mnisaidie mi ni mshamba
2.mitandao ya simu inanunua internet toka kwa ISP mkubwa hapa tanzania inanuna internet toka TTCL,,,
3.Wanaopanga bei hivyo vya vifurushi ni huyu ISP wako anaamua lutokana na demand,ila nahisi TCRA anahusika Kwenye FAIR Usage Policy,
ndio maana ukiona mfano voda wamechange vifurushi na hao wengine,tigo,airtel,halotel watafuata tu,TCRA anahusika hapa....
4. inategemeana na speed, biashara,unaweza weka bei nafuu ili kuvutia wateja,,pia ISP ghali utakuta speed yao ya internet ipo kasi,,,,
 
Back
Top Bottom