Internet Cafe zaifungia Jamii Forum

Internet Cafe zaifungia Jamii Forum

Status
Not open for further replies.

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
10,766
Reaction score
21,474
Ukiingia kwenye Internet Cafe nyingi jijini Dar es Salaam, na ukataka kuperuzi kwenye tovuti ya Jamii Forums huwa haifunguki, na ukiongea na wahudumu wa hiyi migahawa ya mtandao wa intaneti wanakwambia walionywa kuwa wasiruhusu wateja wasitembelee tovuti hiyo.
Kuna mgahawa mmoja uko mjini, wamebandika kabisa bango kuwa ni marufuku kuingia Jamii Forums, ni amri sio ombi.
jamani, mbona tunako elekea kunaonekana ni kubaya kuliko tuliko toka?
yangu macho.
 
Piga picha huo mgahawa pamoja na picha ya bango lete hapa majungu marufuku jf
 
Wanaacha kumfungia mange kimambi na u turn yake wanabaki kuhangaika na jf , mtandao wenye manufaa kedekede kwa taifa letu changa
 
Wanaacha kufungia blog za pornography kama zakina mange....eti....wanafungia JF....ila ni kweli au majungu???? After all siku hizi sisi wababe wa mtandao tunatumia moderm...Watajiju!!!
 
Ckweli!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
lete picha tuache hapari potofu jf
 
PEOPLE'S POWERRRRRRRRRRRRRRRRRRRRR hiyo shenzi kabisa. Kama wanazuia MOTO basi MOSHI unaonekanaa tuu, watabana mpaka lini wataaachia tuuuu JF for LIFE. tena habari mbaya sana kwao nimeenda kwa Doctor juzi amegundua kwamba niko ADDICTED NA JF so ni maumivu tu kwaoooooooooo. wakibana kwenye internet cafe ingieni MOBILE
 
Mimi ninapoenda kwa dharura hua naipata JF.
Japo natumia modem na mobile.
Ila naogopa hata kuitaja hiyo modem yangu ni ya kampuni gani...maana naweza ku.....bure.
 
Ukiingia kwenye Internet Cafe nyingi jijini Dar es Salaam, na ukataka kuperuzi kwenye tovuti ya Jamii Forums huwa haifunguki, na ukiongea na wahudumu wa hiyi migahawa ya mtandao wa intaneti wanakwambia walionywa kuwa wasiruhusu wateja wasitembelee tovuti hiyo. Kuna mgahawa mmoja uko mjini, wamebandika kabisa bango kuwa ni marufuku kuingia Jamii Forums, ni amri sio ombi. jamani, mbona tunako elekea kunaonekana ni kubaya kuliko tuliko toka? yangu macho.
Dawa ni kununua modem na simu zenye internet.
 
chiefmtz!
Umenena!.
Tena kwa simu zenye internet ni zaidi hata kwa gharama za matumizi. Kwa matumizi makubwa kama kudownload n.k wanisaidie wajuzi zaidi.
 
Shida wapi? hata wakibana tunatembeana cm zetu na laps zetu, huwezi kuzuia mvua. Voda nacheka kwa mia tano ck nzima nakamua bwerereeee hafu mnambie habari za cybercafe? kufanya nini?
 
Ukiingia kwenye Internet Cafe nyingi jijini Dar es Salaam, na ukataka kuperuzi kwenye tovuti ya Jamii Forums huwa haifunguki, na ukiongea na wahudumu wa hiyi migahawa ya mtandao wa intaneti wanakwambia walionywa kuwa wasiruhusu wateja wasitembelee tovuti hiyo.
Kuna mgahawa mmoja uko mjini, wamebandika kabisa bango kuwa ni marufuku kuingia Jamii Forums, ni amri sio ombi.
jamani, mbona tunako elekea kunaonekana ni kubaya kuliko tuliko toka?
yangu macho.

Madai yako wala hayaingii akilini!!! Ninachojua mimi; cafe nyingi wanatumia Internet Explore ambayo may be due to technical reason zinashindwa kufungua JF!!! Nakumbuka hata mimi kuna cafe nilikuwa nikiingia nashindwa kufungua JF hadi nilipowaambia wa-install Mozilla
 
Ukiingia kwenye Internet Cafe nyingi jijini Dar es Salaam, na ukataka kuperuzi kwenye tovuti ya Jamii Forums huwa haifunguki, na ukiongea na wahudumu wa hiyi migahawa ya mtandao wa intaneti wanakwambia walionywa kuwa wasiruhusu wateja wasitembelee tovuti hiyo.
Kuna mgahawa mmoja uko mjini, wamebandika kabisa bango kuwa ni marufuku kuingia Jamii Forums, ni amri sio ombi.
jamani, mbona tunako elekea kunaonekana ni kubaya kuliko tuliko toka?
yangu macho.

Taja huo mgahawa ili tukathibitishe usemayo!
 
ukistaajabu ya mose utayaona ya ***** juzi juzi tu mkubwa wa nchi kaenda kufungua sherehe za kaburi leo JF wanaiblock kwenye cafe..mmiliki wa dowans hawamtaji lol!!
 
Mi nahisi hawa Viongozi wengi wako kwenye hili jamvi!!!!, Wengine ndio twajibizana nao, na majina.......(Fulani Fulani Hivi):bump:
 
wafunge wasifunge watajiju, mbona njia za kupata JF ni nyingi sio lazima cyber café
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom