Internet bila kikomo siku 30 kwa 17000

Internet bila kikomo siku 30 kwa 17000

Is this LEGAL? Vodacom,Airtel na TCRA wanajua kwamba una provide these services usije ukawa una hack then wateja baadae ndo wakaja kusumbuliwa
hii issue ni serious ipo siku mtu atakuja kulia na kusaga meno! mm nilikuwa natumia ya voda na airtel yaani nadownload GB hata 100 for two days mwisho nikaona sio fair kabisa kuibia watu nikaachana nayo
 
hii issue ni serious ipo siku mtu atakuja kulia na kusaga meno! mm nilikuwa natumia ya voda na airtel yaani nadownload GB hata 100 for two days mwisho nikaona sio fair kabisa kuibia watu nikaachana nayo
Kweli kabisa mtu unaweza ukala faini au kifungo au vyote kwa pamoja kisa internet...... Conpany nying za simu zna record loses sa hv afu wakja kujua people are illegally access their services cjui and watamfanyaje huyu jamaa
 
Habari wapendwa.

Kwa wenye vodacom tu wanicheki ili niwape hii huduma kwa bei nafuu kabisa.

Nakuunganisha ndipo unalipa pesa.

Wakuu habari zenu. Leo tena kwa mara nyingine nawaletea hii. Bando la interner la unlimited kwa mwezi mzima kwa gharama ya 21,000. Hii ni kwa wenye laini ya Airtel tu. Naweza kukuunga then ndipo ukalipa.

Kama kawaida njoo whatsapp 0677323041
title inasema 17,000/-
ujumbe unasema 21000/-
maaa yake nini?
 
Back
Top Bottom