International Friendly - Namibia vs Tanzania


Unajua Kaka mm ni mfuac mkubwa wa BRN (big results now) sasa by tht tym Msuva na Domayo walikuwa wachanga sn..ndo kwanza walikuwa wamechukuliwa kutoka ile under 20 kwakweli nikiri tu kuwa nilipinga lkn kupinga kwangu hakukutokana na kuwa walikuwa hawajasajiliwa na Yanga bali ilikuwa ni kwa ugeni wao na kukosa udhoefu kwenye mashindano ya kimataifa ni kama vile nilivyokuwa napinga kipindi kile Maximo akizunguka tu na Tegete ambaye alikuwa ashasajiliwa na Yanga,ni vile tu kautaratibu hako haki'apply Dunia nzima lkn team hii ya Wananchi ya kipindi hiki ingeweza kutupa BRN nzuri,iko vizuri sn
 

Ukitoa hao kweli kuna timu hapo? Jaribun hata kuwapumzisha siku moja muone IMPACT YAKE
 

Mkuu nimeangalia highlights hapa naona goli la stars ni shuti la Mcha lile lilijaa kwenye nyavu ndogo na sio goli la kujifunga.
 
Jamal Malinzi,

Kweli bora utuambie kitu gani kimefanya Kazimoto aitwe Stars? Si ni huyu mchezaji alitoroka ?
 
Jamal Malinzi,

Naomba kuuliza swali mheshimiwa.

Hivi kwanini hatufanyi maamuzi magumu tukatafuta wachezaji wa under 19 wawe ndio Taifa Stars twende nao hadi mwisho tukitegemea matokeo baadae huko mbele.
 

Yametimia Tanzania imeporomoka kwa nafasi moja sasa ni ya 117 badala ya 116 (source: The FIFA/Coca-Cola World Ranking - Ranking Table - FIFA.com).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…