Naijua team yangu Kaka...kuna mbadala wa wote hao..
Mbuyu Twite for Juma Abdul,Haruna Niyonzima for Hassan Dilunga,Hamis Kiiza for Said Bahanuzi na Didier Kavumbagu for Hussein Javu....uchofie baadhi kuonekana kuwa hawana nafac kwenye kikoc cha kwanza cha team ya Wananchi hata Aishi Manula alikuwa anaitwa wkt hakuwa na namba kwenye kikoc cha kwanza cha Club yake,amini tu Mkuu kuwa hii team ya Wananchi inge'perform kuliko hii kombania yetu