Wakuu naomba msaada wa kuirejesha huduma ya internate kwenye mobile phone yangu aina ya SAMSUNG C3010S ambayo ilitoweka ghafla takriban kama siku 4 zilizopita, me nimejaribu kufanya hivyo bila mafanikio, naomba msaada anayefahamu namna ya kurejesha aniwekee hapa, natanguliza shukrani, karibuni.