Mungu alipowapatia waisrael kanani( Leo Israel) haikuwa nchi tupu, kula kuwa na wakazi( Leo wapalestina). Mungu aliwambia wawaangamize watu wote watakao wakuta ili waikalie ardhi hiyo lakini wao walipuuza kwa kuwaach wengine ambao Leo ndiyo wapalestina!! Taifa la Israel limekuwa katika vita baada ya kutoka misri ( exodus) na kufanya taaifa la Israel (ktk nchi ya ahadi au kanani) yani tangu Saul wakipigana na wafilisiti, Daud, kuvamiwa na ashuru( leo sryria) ,babylon (leo iraq), na kisha kuvamiwa dola ya rumi, na badaye tena kuvamiwa kwa Yerusalem na rumi ( Baada ya Yesu) ,na kisha kutawajikia katika bara la ulaya kipindi cha WWI& WWII!! Wapaletina walichukua nafasi hiyo ya kutawanyika kwa Israel kujitanua mpaka Jerusalem!! That's is Biblical view ya mgogoro wa Israel na Palestina!! Lakini pia kuna falsafasa nyingi za middle east conflict! Sorry kwa mtiririko mbay,,,I use phone!!