Ndio maana sasa hivi wamebaki kujianzishia makundi ya kigaidi tu kwa mgongo wa dini!
Na mojawapo ya sababu za kuanzishwa makundi haya ya kigaidi ni baada ya warabu kwa umoja wao kuona kuwa hawatakuja kufanikiwa kuwaondoa hao jamaa hapo, sana sana wanapoanzisha vita wanawafanya waisraeli wateke ardhi zaidi katika nchi na maeneo ya waarabu. Kwahiyo wakaona njia pekee ni ugaidi kupitia dini. Na nchi kama Iran ndiyo iko mstari wa mbele kufadhili makundi haya.
Na mojawapo ya sababu za kuanzishwa makundi haya ya kigaidi ni baada ya warabu kwa umoja wao kuona kuwa hawatakuja kufanikiwa kuwaondoa hao jamaa hapo, sana sana wanapoanzisha vita wanawafanya waisraeli wateke ardhi zaidi katika nchi na maeneo ya waarabu. Kwahiyo wakaona njia pekee ni ugaidi kupitia dini. Na nchi kama Iran ndiyo iko mstari wa mbele kufadhili makundi haya.