pojore
JF-Expert Member
- Mar 12, 2017
- 516
- 1,749
Habari ya leo wakuu! Kutokana na shughuli zangu nahitaji mtandao wa intaneti ya uhakika pia kwa kasi kubwa. Nipo Geita mjini pia ninatumia mtandao wa Halotel kwenye 3g Huawei wifi router yangu lakini kasi yake bado nina matumizi makubwa daily zaidi ya 5GB mtandao wa Vodacom na Tigo ovyo speed kobe labda usiku ndo poa. Hivyo kwa yoyote ambaye anaweza nijulisha kampuni yenye kutoa huduma ya intaneti kwa kasi nayohitaji itakuwa vyema sana pia msaada mkubwa sana kwangu na shughuli zangu! Karibuni wakuu