mwinyi
Senior Member
- Apr 11, 2008
- 149
- 155
Wadau,
Kwa yoyoye anayeweza kushea (infuluencers wa instagram) ninaoweza kuwatumia katika advertising/marketing opportunities. Nina kibishara changu nataka kukitangaza kwa kutumia watu wenye ushawishi mkubwa na followers wengi kwa upande wa Insta. Asanteni kwa ushirikiano nitakaopata.
Kwa yoyoye anayeweza kushea (infuluencers wa instagram) ninaoweza kuwatumia katika advertising/marketing opportunities. Nina kibishara changu nataka kukitangaza kwa kutumia watu wenye ushawishi mkubwa na followers wengi kwa upande wa Insta. Asanteni kwa ushirikiano nitakaopata.