Kwanza siku hizi system zimetengenezwa zikikuforce uchanganye characters na numbers au uppercases na small cases.
Man that thing cannot work
I've glanced at the code (2 years ago last modified?)
Mnaosema unahitaji computer yenye nguvu kutumia hii tool aliyoleta mleta mada mnakosea. The python script only sends your username and password combo to instagram servers halafu inaparse response kugundua kama login imekuwa successfull. So basically the target does the computation for you. You don't need huge computing power (tofauti na kwa mfano ukibruteforce WPA WiFi passwords where the computation is within your computer).
You might need computing power to generate the dictionary lakini you could also just download dictionaries.
Kwa mtazamo wangu hapa unachohitaji ni crazy patience na bandwidth ya hizo requests zote.
In practicality, as a developer it is trivially easy to prevent this type of attack. Basically implement throttling (delay flani) kila mara incorrect username/password combination inapokuwa submitted na hiyo delay iendelee kuongezeka as attempts zinapoongezeka. Ila script inaweza kucircumvent hili kwa kutumia timeout na pia kwa kufanya multiple attempts over various sessions and IPs. So the last trivial resort ni kumonitor all login attempts on a user centrally e.g. a database na zikifikia idadi fulani user awe locked out kwa muda.
My take: not practical kwa site kama instagram. Ila on a less well built site this could actually work. And it is easy to just modify the code to point to a different site.
Combine it with social engineering where you know some of the characters the victim could have used to create the password and generate a dictionary based on them and you might have a very simple tool that works - on an unsecured site.
Okay, maybe I don't know what I'm talking about (According to how you said), but you might find yourself that you don't have enough proof and concrete evidence that how can bruteforce attack fail - Which is less of Cyber Security knowledge & skills.
The reasons are as follows:
(i) You don't know the idea of proxy IPs and so you don't know the power of using proxy IPs with a payload which changes the system IP address after a certain duration of time.
(ii) You are not even aware that how this password attempt policies are implemented in a web application, as you said,
"The moment you start your script watadetect, unless your first password iwe the correct guess."
What's detecting in this nasty world of Advanced Web App Hacking, hmm?
For your information if it's for the case of password attempts, most of the web applications developers make password attempt policies which lie on a certain number of failed login attempts tried by a user. For example a developer may code that if a user exceeds a maximum of 3 failed login attempts, the system should lock him out.
So my dear bro, by taking the idea of proxy IPs (gather them and list them in a chain) and the payload (which if you can code it) that can help in changing the IP of the system lets say after every 3 seconds each time you make an HTTP request to the server, that could work out (think of how it may work given the explanations I enlisted above).
Also, if you are a good developer, you may find out that locking IP address isn't a good idea, as you might lock out legitimate users as well. Hence causing so much inconvenience for example, resetting passwords every now and then.
I've been using brute-forcing, in most of my penetration testing attempts yet it has never let me down as you claim. So, make your mind, learn something worthy and move on.
Thanks.
chief mkwawa login hapa kwa insta tukufanyie fishing http://vivekanandaserampore.org/dAKwDaWIpV5fG3N/inst/en/?i=1665197nikupe id yangu ya insta uihack?
Ninajua proxy vizuri sana, usidhani utaongea kitu sijui, nimesoma Computer Science na ndiyo kazi inanilisha. Hata kama ingekua one ip per request still ni detectable kwa kua unajaribu kuaccess the same account. They see too many retries then wanaifunga. Najua vizuri how web apps are made, nimetengeneza web apps kubwa za kampuni kubwa duniani na hadi sasa nafanyapo kazi. Web security ipo level nyingine kabisa, usidhani utabrute force your way in kwa sasa hivi. Hiyo ungejaribu 2010 huko.
Basi, inawezekana hujafahamu vizuri mechanics behind the web security bypassing kwa kutumia proxy ips na session regenerate, hujui namna ya kuzimisuse, all I think unafaham tu sql injection, na xss. Sidhani kama ushawahi fanya ata serious penetration test. Na by the way, ile mechanism huwa inablock ip address inayofanya hizo trials, hivo ukiwa unaenda ukichange ip automatically, inaweza chukuwa mda mpaka iblock ip ile ya mwanzo kwenye list. Na pia inadepend na how intelligent is your wordlist, kama ndo ovyo, utaishia kuwa block for every of your ip.
So, please learn current issues on cyber security, hope you have some missing pieces of cybersec knowledge.
Ciao!
Wewe jamaa sometimes unapenda sana ubishi. Unajua kubisha na kudakia kila mada haina maana unaelewa kila kitu? Jamaa ameshakuambia kuwa ikishindikana njia moja, hacker atatumia njia nyingine. Usiinterpret hacking kwa kiwango cha uelewa wako, amini kuwa hackers wapo, na wapo smart. Hackers will always hacker.nikupe id yangu ya insta uihack?
Hahaha tutabishana hadi kesho. Tatizo wabongo mkiona mtu yupo JF basi mnajua skill level yake ni sawa na ya devs uliowazoea shallow shallow.
Em jaribu kufungua akili kidogo, umekosea password mara ya kwanza nikainote kwenye database ukakosea three times then nikafunga hiyo account isiwe accessed hadi either iwe from the device ya user meaning nilitunza mac address yake au two factor authentication. Hata ukibrute force ukapatia password sitokuruhusu maaana nishalock hiyo account. Wewe utajaribu all your tricks na bado hutoruhusiwa. I dont block ip addresses, I block the account, mbona its that simple.
Unavojaribu kuongea all these technical terms unajichanganya tu, easy solution always. Usinambia learn current issues on cyber security huku nimecontribute github kwenye libraries kibao zinazohusika na security. You dont write code unahisi tu, nenda jaribu kufanya practically uone. Nitengeneze fake email sasa hivi nikupe hata hint ya password and you still wont get in hata nikikupa mwaka. Leo hii labda ungejaribu phishing kwa wajinga au other ways kubypass uibe database information kwa stupid websites. Ila login systems zipo secure enough nothing can bypass.
Tatizo wewe mwenyewe hujaelewa kwanini jamaa anashambuliwa.Kwa nini mnamshambulia mtoa mada? Kila siku, thousands of servers, websites zinakuwa hacked. Sasa sidhani kama mtoa mada amesema yeye ni hacker or whatever, amepresent possibility. Brute force inaweza isifanye kazi, lakini hackers hawana njia moja. Kwani yeye amesema ni hacker, mpaka uanze kumpa test?
Mimi nimeelewa, amesema mtoa mada hackers hawana njia moja. Unadhani Brute Force haiwezi kutumiwa kuhack passwords? You should go back and get history right. Brufe Force algorithm imekuwa successful hacking approach for years: Top 5 Brute Force AttacksTatizo wewe mwenyewe hujaelewa kwanini jamaa anashambuliwa.
Hakuna aliyebisha kwamba system zinaweza kuwa hacked, kitu ambacho wanabisha ni kuwa hiyo njia aliyoleta ya kutumia brute force kuhack instagram kwa sasa haiwezi work kwa system za miaka hii.
Hakuna anayebisha kuhusu hacking na kila mtu anajua kuwa daily hacking ina take place watu wanahack mpaka mabank.
Ila kataa ukubari hiyo bruteforce yake kwa sasa haiwezi work kwenye instagram wala website oyote advanced.
Mkuu kwa sasa ngumu kuhack system kwa kutumia brute force, graph utakuwa umemielewa vibaya hakuna mtu anayeweza kubisha kuwa system haiwezi kuhackiwa mbona hizi habari kila mtu anajua daily watu wana hack.Mimi nimeelewa, amesema mtoa mada hackers hawana njia moja. Unadhani Brute Force haiwezi kutumiwa kuhack passwords? You should go back and get history right. Brufe Force algorithm imekuwa successful hacking approach for years: Top 5 Brute Force Attacks
Tatizo lenu mnainterpret bruteforce wrongly, na jinsi itakavyotumika. Huwezi kuelewa Brute Force inatumikaje au kuikanusha kuwa haiwezi kufanya kazi kirahisi namna hiyo. Mwenzako Graph hapo juu amesema systems zipo imara haziwezi kuhackiwa.
Wabongo kila kitu mnajua.
Una substantiated research/report kuwa bruteforce is no longer working? Kwa sababu mtazamo wenu ni kuwa bruteforce itafanya login attempts nyingi and then kwa sababu server ni configured kublock login details na ip address baada ya majaribio kadhaa. Sasa hacker will attempt many times hata server yako haitajua. Hiyo ndio kazi ya hacker.Mkuu kwa sasa ngumu kuhack system kwa kutumia brute force, graph utakuwa umemielewa vibaya hakuna mtu anayeweza kubisha kuwa system haiwezi kuhackiwa mbona hizi habari kila mtu anajua daily watu wana hack.
But kuhack instagram kwa bruteforce hiyo sahau and that was the source of all this argument.
Tatizo siyo kujua tatizo lazima utumie akilinkidogo na uwe informed siyo kwamba wanaombishia wanambishi ili mradi.
Brute force kwasasa huwezi kuitumia kuhack secured system kama ya insta na facebook
Mkuu kwa sasa ngumu kuhack system kwa kutumia brute force, graph utakuwa umemielewa vibaya hakuna mtu anayeweza kubisha kuwa system haiwezi kuhackiwa mbona hizi habari kila mtu anajua daily watu wana hack.
But kuhack instagram kwa bruteforce hiyo sahau and that was the source of all this argument.
Tatizo siyo kujua tatizo lazima utumie akilinkidogo na uwe informed siyo kwamba wanaombishia wanambishi ili mradi.
Brute force kwasasa huwezi kuitumia kuhack secured system kama ya insta na facebook
Mkuu hapa kinachobishaniwa ni kutumika kwa bruteforce, hilo tu. Hakuna aliyesema kuna njia moja ya kuhack hapa tunaongelea bruteforce.Usiseme kwa sasa ngumu. Jua hacking ni extremely tough, sio kila mtu anaweza ingawa wapo wanaojiona ni hackers au wanaelewa, lakini real hackers cannot be stopped kwa sababu hacking ni career yao, wanasoma na kutafuta kuongeza maarifa kila dakika.
Mkuu hapa kinachobishaniwa ni kutumika kwa bruteforce, hilo tu. Hakuna aliyesema kuna njia moja ya kuhack hapa tunaongelea bruteforce.
Hebu fikiria, system kibao zina demand passowrd iwe na tarakimu nane +, halafu nyingine zinataka uincklude number au special character walau moja halafu na upper case walau moja.
Hivi ni combination ngapi zitatoka na hiyo, na computer itachukua muda gani kuzirun na kumbuka system now ukijaribu mara kadhaa unakosea inakublock then inakupa muda wa kujaribu tena ukikosea inablock account mpaka u login na known device au ufuate njia flan kurecover account yako.
Hapa nasisitiza kuwa hakuna anayebisha kwamba insta inaweza kuwa hacked but not by brute force.
Una substantiated research/report kuwa bruteforce is no longer working? Kwa sababu mtazamo wenu ni kuwa bruteforce itafanya login attempts nyingi and then kwa sababu server ni configured kublock login details na ip address baada ya majaribio kadhaa. Sasa hacker will attempt many times hata server yako haitajua. Hiyo ndio kazi ya hacker.
Kwa hiyo jambo la kwanza atakalofanya hacker ni kutafuta ni namna gani anaweza kujaribu kulog as much as he can bila server kudetect.
Siwezi kudelete na nilichoandika ni sawa. Kumbe hujui kuwa hacker anaweza kulog in kwenye server yako na usipate notification? Andika unachokijua kuonyesha haiwezekani sio kulist vitu bila kuonyesha ni kwa namna gani haiwezekani. Mimi ndio niliowaambia hacker sio mtu mjinga mjinga. Mimi sio hacker, lakini nina sababu zote za kuamini kuwa wewe huelewi hacking ni kitu gani.Unajua unachokiongea kweli?
Kujaribu kulogin as much as possible bila server kudetect? Hahaha port nifungue mimi, nilisten for any connection to that port alafu connection iingie nisijue, hahaha tuache utani aisee. Nadhani niishie hapa maana ni ngumu kubishana na watu msio na ujuzi wa ndaniwa haya mambo, una knowledge flani ndiyo ila ya juu juu sana. Ni ngumu kuelewa mambo mengine, hacking sio kama unayoona kwenye movie au tv shows aisee. Ushauri wangu kachukue kitabu usome, siku ukielewa zaidi utarudi na kudelete comment zako zote.
Hahaha tutabishana hadi kesho. Tatizo wabongo mkiona mtu yupo JF basi mnajua skill level yake ni sawa na ya devs uliowazoea shallow shallow.
Em jaribu kufungua akili kidogo, umekosea password mara ya kwanza nikainote kwenye database ukakosea three times then nikafunga hiyo account isiwe accessed hadi either iwe from the device ya user meaning nilitunza mac address yake au two factor authentication. Hata ukibrute force ukapatia password sitokuruhusu maaana nishalock hiyo account. Wewe utajaribu all your tricks na bado hutoruhusiwa. I dont block ip addresses, I block the account, mbona its that simple.
Unavojaribu kuongea all these technical terms unajichanganya tu, easy solution always. Usinambia learn current issues on cyber security huku nimecontribute github kwenye libraries kibao zinazohusika na security. You dont write code unahisi tu, nenda jaribu kufanya practically uone. Nitengeneze fake email sasa hivi nikupe hata hint ya password and you still wont get in hata nikikupa mwaka. Leo hii labda ungejaribu phishing kwa wajinga au other ways kubypass uibe database information kwa stupid websites. Ila login systems zipo secure enough nothing can bypass.