Wewe ni robotiUdukuzi
Hapana mimi si RobotWewe ni roboti
Hehehe ni ya kweli hayo? Kwanini wasikufunge?
Wewe ni roboti
Mkuu wewe no roboti tena linalofanya auto replyHapana mimi si Robot
Daah haya mkuuMkuu wewe no roboti tena linalofanya auto reply
Hizi umeweka tu ila hiyo unaweza ukakesha siku nzima na usifanikiwe chochote
1. unaporudia password mara nyingi website za kisasa zinakublock au zinaku suspend kwa muda fulani.Tatizo wengi wanapenda kuwa Hackers ila wanafikiri katika kuhack watafanya tu first trial na kufanikiwa kupenetrate apo apo, hiyo ndo shida.. It will take time, it depends on the length of the target's password - jinsi password yake ilivo ndefu na kucombine characters mbalimbali .. ndivyo nawewe utakavyo chukuwa muda mrefu mpaka kuicrack account yake.
So yea, ukiwa hacker jifunze kuwa PATIENT.
1. unaporudia password mara nyingi website za kisasa zinakublock au zinaku suspend kwa muda fulani.
2. password moja yenye charachter zaidi ya 8 inaweza ikakuchukua miaka kadhaa kuipata, pengine hadi umri wako wote hadi unakufa kuna baadhi ya password utashindwa kuzipata.
Unacopy na kutupestia hapa utadhani unaandalia notes wanafunzi wa chuoni......Test kwanza uje utupe mrejesho wako
1. unaporudia password mara nyingi website za kisasa zinakublock au zinaku suspend kwa muda fulani.
2. password moja yenye charachter zaidi ya 8 inaweza ikakuchukua miaka kadhaa kuipata, pengine hadi umri wako wote hadi unakufa kuna baadhi ya password utashindwa kuzipata.
Nafahamu hiko kitu, ni kweli kwamba sahivi websites na social medias nyingi wanalimit number of logins per IP address.
Ujue tofauti ya hacker na mtu wa kawaida ni kwamba, Hacker huwa anafikiria beyond the limits kutry every possible method ili kuachieve his/her objective, ila mtu wa kawaida yeye akiona kikwazo anaishia hapo hapo na haweki juhudi kubypass hiyo problem inayomkabili.
Kuna namna nyingi za kutackle problem hiyo ya kuwa block after certain unsuccessful login tries, moja ya common an very strong method ni kutumia Proxy IP - ni IP's ambazo kwanza zina hide your Identity online kwa kuspoof your actual IP address, pia yenyewe ukitumia bila tool inayoitwa proxy-chains bado hutaweza kutackle hiyo problem.. Download tool hiyo ya linux inaitwa Proxy-chains yenyewe spoof your actual IP na vile vile inachange your Proxy IP after a certain range of time continuously, hivo the longer- the list utakayo kuwa nayo ya proxy IPs ndivyo utakavyo pata mda mrefu wa kubrute-force na eventually kuachieve your objective.
Pia unaweza insert kwenye hiyo hiyo python code script/function ya kuchange ip after every single login trial, hapo ukiwa na list ya Proxy IPs zako tayari loaded.
The only thing na ndivyo itakavyokuwa ni kwamba Hackers watabaki kuwa wachache, wengi wao watabaki kuwa Script-kiddies ambao wanawait for codes za wengine ili watumie na hawana real qualities za kuwa HACKER.
Asante!
1. password yenye charachter 8 ina combination ya mamia ya bilioni utahitaji ip ngapi?
kwa ipv4 kuna jumla ya ip 4.3 billion duniani, hivyo hata uhack dunia nzima na kuiba ip zote huwezi kupata ip za kutosheleza kubadili kila mara.
2. tu assume inawezekana, mimi na wewe hatuna hardware za kubrute force, computer ya kawaida hata iwe ni ile ya milioni 10 yenye dual gpu ya titan x na cpu ya kisasa kabisa core i9 yenye core 18 na thread 36 itashindwa kuwa na speed kwenye kubrute force
nikupe id yangu ya insta uihack?Bro tatizo linakuja palepale kwamba, unalazimisha kufanya jambo kwa njia moja hiyo hiyo, bro hackers hawana stagnant ideas!
Bro, kama one method imeshindikana, labda target anatumia password yenye urefu wa characters zaidi ya 8.. na umeona kwa njia ya bruteforcing imeshindikana, hatufungwi na njia moja.. Kuna Social Engineering - ambayo unaweza ukaiapply in a variety of ways either physically kwa kumfuata target na kuattempt social engineering him/her au kwa kupitia tools kama Social Engineering Toolkit(SET) ambayo ianakupa modules nyingi za kutosha kukuwezesha wewe kuachieve social engineering with less hassle.
Sio social engineering tuu, kuna plenty of ways unaweza kudeploy kuachieve your objective. This tool ni kwaajili ya normal-cases ila in worst-cases you might find it unusable.
Think widely bro! Sometimes In plenty ways there might be only one single way to penetrate the system.
Mnafikiri mkiwa na tool hii pekee mtaweza kupenetrate accounts zote za instagram.. Pathetic!