Inspector Haroun tutake radhi mashabiki wako

Inspector Haroun tutake radhi mashabiki wako

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
19,900
Reaction score
37,696
Nilivyo ona picha hii hapa chini

1454584_745450665512116_753084  6913039054560_n.jpg


Nikajua itakuwa bonge la ngoma!

Kwenda kusikiliza nakutana na u.p.u.pu . Sasa ndo muziki gani huo babu? Mashairi hayaeleweki, biti kama la underground wa mwaka 1997. Kaka kama vipi staafu tu muziki kaka, muziki huuwezi kaka. Pia unatakiwa kutuomba radhi mashabiki wako kwa kutupotezea muda wetu kusikiliza u.pu.pu kama huo.

USIPOKUBALI KUFA KIMUZIKI NA KUZIKWA KIMUZIKI, HAUWEZI KUFUFUKA KIMUZIKI.
<font size="4">
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom