Inside Celebrity Closets....!!!!

Inside Celebrity Closets....!!!!

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,257
Reaction score
22,130
Mariah Carey
mariah.jpg mariah1.jpg

Kimora Lee

kim.jpg

Khloer Kardashian
khloe.jpg khloe1.jpg

Christina Aguilera
christina.jpg

Rachel Zoe
rachel.jpg
 
Kuna siku naangalia Keeping up with the Kardashian aisee nguo za Kim utabaki hoi

na hiyo siku madesigner wa Kanye walikuja wakachagua ni nguo gani zibaki

na nyingine zikatolewa then zikawekwa nyingine tena mpyaaa
 
Kuna siku naangalia Keeping up with the Kardashian aisee nguo za Kim utabaki hoi

na hiyo siku madesigner wa Kanye walikuja wakachagua ni nguo gani zibaki

na nyingine zikatolewa then zikawekwa nyingine tena mpyaaa

Acha kabisa watu wana doo!
 
mmh hawa nao wamefungua boutique ?? ujasiriamali unalipa jamani...
 
hilo kabati la viatu nikipewa nikafanya biashara mbona itanitoa kimaisha
 
huu ni wehu tu

mwaka mmoja una siku 365

that mean mtu akiamua kuvaa kiatu kipya kila siku
anahitaji viatu 365 tu
sasa mtu ananunua viatu 3000..vya nini?
na kila mwaka anongeza vingine 2000 labda for what?

huu ni wehu mtupu..

na mnao shabikia wehu huu mtakuwa na ugonjwa huu pia
 
hao wote ni wachovu tu kwa kwa chakla ya diomond,wema zoleo.twi twi twi.
 
huu ni wehu tu

mwaka mmoja una siku 365

that mean mtu akiamua kuvaa kiatu kipya kila siku
anahitaji viatu 365 tu
sasa mtu ananunua viatu 3000..vya nini?
na kila mwaka anongeza vingine 2000 labda for what?

huu ni wehu mtupu..

na mnao shabikia wehu huu mtakuwa na ugonjwa huu pia

Hahaha ila mkuu si unajua money can make u do crazy things!
 
Kuna siku naangalia Keeping up with the Kardashian aisee nguo za Kim utabaki hoi

na hiyo siku madesigner wa Kanye walikuja wakachagua ni nguo gani zibaki

na nyingine zikatolewa then zikawekwa nyingine tena mpyaaa

Binamu wewe pea zinahesabika...?
 
Hawa wote ni punguani; miguu yenyewe miwili jozi zote hizo za nini? Pengine wangetoa jozi nyingine kwa maskini waliojaa marekani wangepata thawabu!!!!
 
The Boss, umenea mkuu, huu n wehu wa kuwa na too much pesa

huu ni wehu tu

mwaka mmoja una siku 365

that mean mtu akiamua kuvaa kiatu kipya kila siku
anahitaji viatu 365 tu
sasa mtu ananunua viatu 3000..vya nini?
na kila mwaka anongeza vingine 2000 labda for what?

huu ni wehu mtupu..

na mnao shabikia wehu huu mtakuwa na ugonjwa huu pia
 
Back
Top Bottom