donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,257
- 22,130
Kuna siku naangalia Keeping up with the Kardashian aisee nguo za Kim utabaki hoi
na hiyo siku madesigner wa Kanye walikuja wakachagua ni nguo gani zibaki
na nyingine zikatolewa then zikawekwa nyingine tena mpyaaa
mmh hawa nao wamefungua boutique ?? ujasiriamali unalipa jamani...
Mariah Carey
View attachment 120312View attachment 120313
Kimora Lee
View attachment 120314
Khloer Kardashian
View attachment 120315View attachment 120317
Christina Aguilera
View attachment 120318
Rachel Zoe
View attachment 120319
samahani mkuu hayo ni maduka yao au?
huu ni wehu tu
mwaka mmoja una siku 365
that mean mtu akiamua kuvaa kiatu kipya kila siku
anahitaji viatu 365 tu
sasa mtu ananunua viatu 3000..vya nini?
na kila mwaka anongeza vingine 2000 labda for what?
huu ni wehu mtupu..
na mnao shabikia wehu huu mtakuwa na ugonjwa huu pia
Kuna siku naangalia Keeping up with the Kardashian aisee nguo za Kim utabaki hoi
na hiyo siku madesigner wa Kanye walikuja wakachagua ni nguo gani zibaki
na nyingine zikatolewa then zikawekwa nyingine tena mpyaaa
huu ni wehu tu
mwaka mmoja una siku 365
that mean mtu akiamua kuvaa kiatu kipya kila siku
anahitaji viatu 365 tu
sasa mtu ananunua viatu 3000..vya nini?
na kila mwaka anongeza vingine 2000 labda for what?
huu ni wehu mtupu..
na mnao shabikia wehu huu mtakuwa na ugonjwa huu pia
Hapana mkuu, kila mtu na closet yake binafsi
Asee!!! hizo ni kufuru kwa kweli.