Inshu ya Konde na Ibra imekaa kitapeli.

Inshu ya Konde na Ibra imekaa kitapeli.

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
3,652
Reaction score
5,134
Ibra ameanza kuimba taarabu toka wiki ianze anasikika kwenye social media kuwa anadaiwa,ila kiuhalisia hawa jamaa naona wanataka kupiga pesa za watanzania kwa lengo la kukidhi mahitaji yao.

Kwani siyo huyu Ibra aliyokuwa anagawa fedha?Bossi wake juzi ametoka kuhonga Defender,sasa naona wameishiwa wanahitaji sympath.
 
Ibra ameanza kuimba taarabu toka wiki ianze anasikika kwenye social media kuwa anadaiwa,ila kiuhalisia hawa jamaa naona wanataka kupiga pesa za watanzania kwa lengo la kukidhi mahitaji yao.

Kwani siyo huyu Ibra aliyokuwa anagawa fedha?Bossi wake juzi ametoka kuhonga Defender,sasa naona wameishiwa wanahitaji sympath.
Wewe una akili sana mimi pia nilinusa hiyo harafu ya utapeli hapo nikajisemea siwezi kuchangia matapeli hao..
 
Back
Top Bottom