bahatibahati
Member
- Jul 4, 2023
- 15
- 22
Huyo mchezaji amekuwa akichomesha mara kwa mara.
Kwani kocha anamwamini sana,
INONGA ametucost.
Kwani kocha anamwamini sana,
INONGA ametucost.
Mocha ndio nani?Kwani mocha anamwamini sana
Kwamba Sub ingewapa ushindi.Kocha ndio kazingua kawapa ushindi waarabu wenzake kiulaini amechelewa kufanya substitution mwenzake anafanya sub anamuangalia.
kiuhalisia simba wote ndo wenye makosa. waliweka angalizo sana katika mechi ya yanga na jinsi Yanga itakavyofungwa mabao mengi na mamelodi sun down. Leo washaanza kumlaumu Inonga na kesho utasikia majungu kwa MO.Huyo mchezaji amekuwa akichomesha mara kwa mara.
Kwani kocha anamwamini sana,
INONGA ametucost.
Umeongea kitu kikubwa. Ukimtoa forward tunategemea ununue bora kuliko aliyeondoka. ReplacementHii.mechi.ilitakiwa iishe kwa sare ama simba kushinda...unatupa washambuliaji unaleta wahuni tu
Acha uongo na wewe, Simba ipi hiyo iliweka angalizo kwa Yanga?....Au ni mashabiki ambao hata hawapangi timu?....kiuhalisia simba wote ndo wenye makosa. waliweka angalizo sana katika mechi ya yanga na jinsi Yanga itakavyofungwa mabao mengi na mamelodi sun down. Leo washaanza kumlaumu Inonga na kesho utasikia majungu kwa MO.
Mbona Inonga ni afadhali.Huyo mchezaji amekuwa akichomesha mara kwa mara.
Kwani kocha anamwamini sana,
INONGA ametucost.
Zimbwe ndio alianza.kufanya makosa Ila Inonga alikuwa na uwezo wa kusahihisha.Lile bao limeanzia kwa Zimbwe, huyu Inonga mnamsingizia hapa, khaah
Wewe una macho halisi na umeona kama mimi. Kuna watu hawajui hata kosa lilianzia wapi?Lile bao limeanzia kwa Zimbwe, huyu Inonga mnamsingizia hapa, khaah