Innovation: Home internet (Fiber) + TV

Innovation: Home internet (Fiber) + TV

QasraNet

Member
Joined
Jan 3, 2018
Posts
38
Reaction score
50
Habari wakuu,
Ninawazo hapa mahususi kwa sisi wa developing countries.
Wazo hili halitokani na Zuku Fiber + TV

Device ambayo itakuwa inaweza kupokea signal za internet+tv through Fiber (SFP Slot) or internet only through WAN Port (RJ45) kisha itaweza kutoa LAN through RJ45 pamoja na kutoa 1080p, 4k to 6k Video Signal through HDMI au Analog Output (RCA Jack - Zile zilikuwaga na rangi ya njano for video, and stereo audio through Red na White), device iwe na Stereo out through 3.5 mm jack pia itakuwa inaBroadcast WiFi.
Nexus Hub Pro: Image generated by AI

Operation system inaweza kuwa Android au Linux Based Kernel OS yoyote ambayo itakuwa lightweight kumanage hizi functionallities zote kwa ukamilifu wake. User awe na access ya kuManage device yake through App au web portal.

So mteja atakuwa na device yake ambayo ipo connected kwenye fiber anapata internet na tv signal kwa pamoja. Device itakuwa registered kwa subscription id yake yeye mteja. Atapata network (LAN) through Wifi au RJ45. Pia ataweza kutazama TV Channels kupitia HDMI au analog video. Pia kupitia function ya tv ataweza kutazama youtube, netflix au kuBrowse the internet. Na kama labda imetokea kaishiwa kifurushi, kwamba hawezi tena kupata internet basi ataendelea kupata TV channels chache za local. Na mfano tuseme mtu akaridhika tuu na channel za local kwa muda huo basi aweze pia kutumia port ya WAN kuingiza internet kutoka kwenye router ya nje na aendelee kutumia youtube, netflix na kuBrowse internet.

Ni biashara complex ila nadhani inabidi liwe adopted. Nimejitahidi kuelezea kwa kadiri kichwa kilivyoweza. Nikaweka na picha hapo from Gemini AI baada ya kuipa wazo. Pia naendelea kuzurura online kutazama kama kifaa kama hiki kinaExists au lah ila kwa research ndogo nimeona hakipo.

My head made these device options:
Nexus Hub Home Vijana Lite - 1 SFP, 1 WAN, 1 LAN, 1 HDMI, USB
Nexus Hub Home Lite - 1 SFP, 1 WAN, 2 LAN, 1 HDMI, Analog Video Out, USB
Nexus Hub Home Pro - 1 SFP, 1 WAN, 3 LAN, 1 HDMI, Analog Video Out, USB
Nexus Hub Home Plus - 1 SFP, 1 WAN, 5 LAN, 1 HDMI, Analog Video Out, USB

Sorry kwa kuchanganya lugha na kuongea technical side zaidi ila ilibidi nilifikishe hili wazo hapa.
 
Mruhusuni Elon Musk atupe internet kwa satellite ,siyo kila sehemu faiba imefika.
 
Habari wakuu,
Ninawazo hapa mahususi kwa sisi wa developing countries.
Wazo hili halitokani na Zuku Fiber + TV

Device ambayo itakuwa inaweza kupokea signal za internet+tv through Fiber (SFP Slot) or internet only through WAN Port (RJ45) kisha itaweza kutoa LAN through RJ45 pamoja na kutoa 1080p, 4k to 6k Video Signal through HDMI au Analog Output (RCA Jack - Zile zilikuwaga na rangi ya njano for video, and stereo audio through Red na White), device iwe na Stereo out through 3.5 mm jack pia itakuwa inaBroadcast WiFi.
View attachment 3473230
Operation system inaweza kuwa Android au Linux Based Kernel OS yoyote ambayo itakuwa lightweight kumanage hizi functionallities zote kwa ukamilifu wake. User awe na access ya kuManage device yake through App au web portal.

So mteja atakuwa na device yake ambayo ipo connected kwenye fiber anapata internet na tv signal kwa pamoja. Device itakuwa registered kwa subscription id yake yeye mteja. Atapata network (LAN) through Wifi au RJ45. Pia ataweza kutazama TV Channels kupitia HDMI au analog video. Pia kupitia function ya tv ataweza kutazama youtube, netflix au kuBrowse the internet. Na kama labda imetokea kaishiwa kifurushi, kwamba hawezi tena kupata internet basi ataendelea kupata TV channels chache za local. Na mfano tuseme mtu akaridhika tuu na channel za local kwa muda huo basi aweze pia kutumia port ya WAN kuingiza internet kutoka kwenye router ya nje na aendelee kutumia youtube, netflix na kuBrowse internet.

Ni biashara complex ila nadhani inabidi liwe adopted. Nimejitahidi kuelezea kwa kadiri kichwa kilivyoweza. Nikaweka na picha hapo from Gemini AI baada ya kuipa wazo. Pia naendelea kuzurura online kutazama kama kifaa kama hiki kinaExists au lah ila kwa research ndogo nimeona hakipo.

My head made these device options:
Nexus Hub Home Vijana Lite - 1 SFP, 1 WAN, 1 LAN, 1 HDMI, USB
Nexus Hub Home Lite - 1 SFP, 1 WAN, 2 LAN, 1 HDMI, Analog Video Out, USB
Nexus Hub Home Pro - 1 SFP, 1 WAN, 3 LAN, 1 HDMI, Analog Video Out, USB
Nexus Hub Home Plus - 1 SFP, 1 WAN, 5 LAN, 1 HDMI, Analog Video Out, USB

Sorry kwa kuchanganya lugha na kuongea technical side zaidi ila ilibidi nilifikishe hili wazo hapa.
Nimekupata vyema kabisa, changamoto tuliyo nayo wengi Makampuni makubwa yameshindwa kabisa kusambaza fibre kwa bei ambayo ni rafiki kwa watu, mfano bei ya 20mbps kwa Makampuni mengi ni Around 50K, tuseme mfano wangeweka package ya 10mbps kwa 20K, hii ni ndogo sana wengi wangemudu.

Kwa idea yako sasa mfano mkali Bakhressa afanye Internet 25K na ukihitaji internet na TV yake 40K halafu akaze majiji yote na miji awe na coverage ya kutosha mbona hela atazikimbia....!?.
 
Nimekupata vyema kabisa, changamoto tuliyo nayo wengi Makampuni makubwa yameshindwa kabisa kusambaza fibre kwa bei ambayo ni rafiki kwa watu, mfano bei ya 20mbps kwa Makampuni mengi ni Around 50K, tuseme mfano wangeweka package ya 10mbps kwa 20K, hii ni ndogo sana wengi wangemudu.

Kwa idea yako sasa mfano mkali Bakhressa afanye Internet 25K na ukihitaji internet na TV yake 40K halafu akaze majiji yote na miji awe na coverage ya kutosha mbona hela atazikimbia....!?.
Asante kwa kunielewa Mkuu.
Nimekupata vyema kabisa, changamoto tuliyo nayo wengi Makampuni makubwa yameshindwa kabisa kusambaza fibre kwa bei ambayo ni rafiki kwa watu, mfano bei ya 20mbps kwa Makampuni mengi ni Around 50K, tuseme mfano wangeweka package ya 10mbps kwa 20K, hii ni ndogo sana wengi wangemudu.

Kwa idea yako sasa mfano mkali Bakhressa afanye Internet 25K na ukihitaji internet na TV yake 40K halafu akaze majiji yote na miji awe na coverage ya kutosha mbona hela atazikimbia....!?.
Umenielewa vyema sana mkuu. Ila naona tunaelekea huko... Kadiri ukubwa wa data usage unavyoongezeka ndivyo na kasi inavyoongezeka. Baada ya miaka sita ninahakika tutakuwa tunaongelea 100 mbps kwa 70,000. Kwa maana hapo bandwidth ya 20mbps au 30mbps itakuwa inaweza kupatikana kwa bei rahisi.
 
Asante kwa kunielewa Mkuu.

Umenielewa vyema sana mkuu. Ila naona tunaelekea huko... Kadiri ukubwa wa data usage unavyoongezeka ndivyo na kasi inavyoongezeka. Baada ya miaka sita ninahakika tutakuwa tunaongelea 100 mbps kwa 70,000. Kwa maana hapo bandwidth ya 20mbps au 30mbps itakuwa inaweza kupatikana kwa bei rahisi.
Kwa utawala huu sidhani mkuu, ila maybe huwezi jua, ila siku TTCL ikipata kiongozi mwenye njozi akatumia nguzo za Tanesco kusambaza fibre mitaani basi mabando yatauzwa bei chee.
 
Back
Top Bottom