'Inkotanyi': Falsafa muhimu inayopaswa kufundishwa Vyombo vya Ulinzi na Usalama hasa JWTZ na TISS

'Inkotanyi': Falsafa muhimu inayopaswa kufundishwa Vyombo vya Ulinzi na Usalama hasa JWTZ na TISS

Lord Denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
23,494
Reaction score
57,869
Screenshot_20251208_133247_Chrome.jpg

Nchini Rwanda kuna falsafa muhimu sana inayotumiwa kumaanisha kiwango cha juu kabisa cha Uzalendo na kuwalinda Wananchi na maslahi yao.

Falsafa hiyo inapatikana kwenye neno Inkotanyi. Neno hili linamaanisha nguvu ya pamoja inayofanywa kwa ujasiri ili kulinda Wananchi na kusimamia maslahi mapana ya Wananchi na Taifa lao.

Falsafa hii ndiyo iliyotumiwa na vikosi vilivyoongoza na Meja Generali Paul Kagame katika kuikomboa Rwanda na kuijenga upya kwa nguvu baada ya mauaji ya kimbari ya mwaka 1994.

Kupitia falsafa hii, Wanajeshi wazalendo chini ya Meja Generali Paul Kagame walifanikiwa kuwaondoa Viongozi madhalimu waliokuwa wanawagawa wananchi kwa misingi ya kikabila huku wakijinufaisha binafsi kwa ufisadi wa kutisha.

Kupitia falsafa hii kikundi kile cha Wanajeshi kimefanikiwa leo hii kuunda Jeshi bora kabisa la Wananchi la Rwanda na Taasisi bora kabisa za Ulinzi nchini Rwanda. Taasisi hizi za nchini Rwanda sasa zinasifika na kuogopeka kwa kiwango cha kutisha kabisa hapa Afrika.

Wameweza kuzuia Ugaidi nchini Msumbiji, wameweza kulituliza Taifa la Afrika ya Kati na sasa wamefanikiwa kuikamata Kongo Mashariki na kuviondoa vikosi vya Mafisadi wa SADC waliokuwa wanaongozwa na JWTZ.

Falsafa hii imefanya Rwanda kuijenga vizuri na kwa kasi sana nchi yao huku wakijenga taasisi imara, kuzuia rushwa kuleta maendeleo makubwa kwa wananchi pamoja na kuwa na rasilimali chache sana.

Kwa yanayoendelea nchini Tanzania, hatuna budi kulikomboa hili Taifa na kuunda upya majeshi yetu huku tukibadili muundo wake na kuwafundisha falsafa ya Inkotanyi ili yajifunze kusimamia maslahi ya Wananchi na kuwalinda Wananchi muda wote.

Falsafa hii sio tu itafanikisha kujenga uzalendo wa kweli bali pia kuyafanya Majeshi yetu kutotumiwa na vikundi vya Viongozi mafisadi wanaokandamiza wananchi ili wawatawale kwa nguvu

20251208_135349.jpg
20251208_135542.jpg
20251208_135509.jpg
20251215_104004.jpg
20251215_103523.jpg
20251215_103412.jpg
20251215_104059.jpg
20251215_103606.jpg
 
🤣🤣🤣 leo wamekutana na mwenyekiti wa ccm kwenye kikao cha mwenyekiti wa ccm na askari wa ccm
Hayana akili kabisa haya MaJWTZ kazi tu kutaka sifa ya kuogopwa na raia wakipelekwa huko Congo chupi zinajaa vinyesi kwa uoga
 
Hayana akili kabisa haya MaJWTZ kazi tu kutaka sifa ya kuogopwa na raia wakipelekwa huko Congo chupi zinajaa vinyesi kwa uoga
Walivyofuga vitambi tu ndo unajua hapa hatuna Jeshi.

Hakuna mwanajeshi mwenye kitambi alafu ana akili maana siri ya kitambi ni kwamba kinachukuaga akili zote. Ni sawa na mwanamke mwenye matako makubwa, hawezi kuwa na akili.
 
Walivyofuga vitambi tu ndo unajua hapa hatuna Jeshi.

Hakuna mwanajeshi mwenye kitambi alafu ana akili maana siri ya kitambi ni kwamba kinachukuaga akili zote. Ni sawa na mwanamke mwenye matako makubwa, hawezi kuwa na akili.
🤔🤔🤔🤔
 
Walivyofuga vitambi tu ndo unajua hapa hatuna Jeshi.

Hakuna mwanajeshi mwenye kitambi alafu ana akili maana siri ya kitambi ni kwamba kinachukuaga akili zote. Ni sawa na mwanamke mwenye matako makubwa, hawezi kuwa na akili.
Kaka mkubwa mimi niko na wewe kwa kila kitu ila naomba tafsiri ya kuwa na kitambi uiondoe isiwe hiyo ili tuendeleee kuwa wamoja na tuwa na amani kabla uhusiano wangu na wewe haujavunjika kaka mkubwa
 
Hi falsafa kawape chadema wenzako miaka yote ni kelele tu hakuna la maana

USSR
 
Nilishakwambia kuwa upo kiwango cha juu cha upumbavu...

-leo nyie ni wa kusifia rwanda na paul kagame? (ficheni upumbavu basi hata ukizidi)
Miaka ya nyuma mliwahi kusema kuwa rwanda ni nchi ya kidikteta, na alikuwa anaua wapinzani wake waliokuwa nje ya nchi, hata yule mama mpinzani aliwekwa ndani!

-unajua rwanda inajengwa kwa mkono wa chuma na si demokrasia!, we unaipgania demokrasia halafu unatamani mfumo wa nje wa kidikteta? (ficheni upumbavu)

-uzalendo si kukubali wapumbavu wachache kuiba na kuharibu mali za watu, eti mkiguswa tu mnalilia jwtz. Niliwahi kukwambia kuwa jwtz siyo redbrigade kwamba kila mbwa anaweza kuiamrisha!

-unataman nin kutoka rwanda? Kuvamia nchi jirani na kuanzisha vikundi vya uasi ili mataifa jirani yasitawalike?

EBU TULETEE HAPA MTAALA WA JWTZ/TISS PAMOJA NA ULE WA RDF/UJASUSI WA RWANDA TULINGANISHE. KAMA UNAYO HYO MITAALA! (LA SIVYO UTAKUWA KIWANGO CHA JUU CHA UPUMBAVU NA UPO KWENYE POINT OF NO RETURN)
 

Nchini Rwanda kuna falsafa muhimu sana inayotumiwa kumaanisha kiwango cha juu kabisa cha Uzalendo na kuwalinda Wananchi na maslahi yao.

Falsafa hiyo inapatikana kwenye neno Inkotanyi. Neno hili linamaanisha nguvu ya pamoja inayofanywa kwa ujasiri ili kulinda Wananchi na kusimamia maslahi mapana ya Wananchi na Taifa lao.

Falsafa hii ndiyo iliyotumiwa na vikosi vilivyoongoza na Meja Generali Paul Kagame katika kuikomboa Rwanda na kuijenga upya kwa nguvu baada ya mauaji ya kimbari ya mwaka 1994.

Kupitia falsafa hii, Wanajeshi wazalendo chini ya Meja Generali Paul Kagame walifanikiwa kuwaondoa Viongozi madhalimu waliokuwa wanawagawa wananchi kwa misingi ya kikabila huku wakijinufaisha binafsi kwa ufisadi wa kutisha.

Kupitia falsafa hii kikundi kile cha Wanajeshi kimefanikiwa leo hii kuunda Jeshi bora kabisa la Wananchi la Rwanda na Taasisi bora kabisa za Ulinzi nchini Rwanda. Taasisi hizi za nchini Rwanda sasa zinasifika na kuogopeka kwa kiwango cha kutisha kabisa hapa Afrika.

Wameweza kuzuia Ugaidi nchini Msumbiji, wameweza kulituliza Taifa la Afrika ya Kati na sasa wamefanikiwa kuikamata Kongo Mashariki na kuviondoa vikosi vya Mafisadi wa SADC waliokuwa wanaongozwa na JWTZ.

Falsafa hii imefanya Rwanda kuijenga vizuri na kwa kasi sana nchi yao huku wakijenga taasisi imara, kuzuia rushwa kuleta maendeleo makubwa kwa wananchi pamoja na kuwa na rasilimali chache sana.

Kwa yanayoendelea nchini Tanzania, hatuna budi kulikomboa hili Taifa na kuunda upya majeshi yetu huku tukibadili muundo wake na kuwafundisha falsafa ya Inkotanyi ili yajifunze kusimamia maslahi ya Wananchi na kuwalinda Wananchi muda wote.

Falsafa hii sio tu itafanikisha kujenga uzalendo wa kweli bali pia kuyafanya Majeshi yetu kutotumiwa na vikundi vya Viongozi mafisadi wanaokandamiza wananchi ili wawatawale kwa nguvu

Hata hujui. Jeshi la Tanzania linaogopwa katika ukanda wote wa Afrika Mashariki na kati, ni jeshi Imara sana na lenye nidhamu. Rwanda ina jeshi linaloiba rasilimali za DRC kwa kusaidiwa na Marekani. Bila mali za Congo hakuna kitu pale. Je, unatamani na jeshi letu liwe jeshi la uvamizi?
 
Nilishakwambia kuwa upo kiwango cha juu cha upumbavu...

-leo nyie ni wa kusifia rwanda na paul kagame? (ficheni upumbavu basi hata ukizidi)
Miaka ya nyuma mliwahi kusema kuwa rwanda ni nchi ya kidikteta, na alikuwa anaua wapinzani wake waliokuwa nje ya nchi, hata yule mama mpinzani aliwekwa ndani!

-unajua rwanda inajengwa kwa mkono wa chuma na si demokrasia!, we unaipgania demokrasia halafu unatamani mfumo wa nje wa kidikteta? (ficheni upumbavu)

-uzalendo si kukubali wapumbavu wachache kuiba na kuharibu mali za watu, eti mkiguswa tu mnalilia jwtz. Niliwahi kukwambia kuwa jwtz siyo redbrigade kwamba kila mbwa anaweza kuiamrisha!

-unataman nin kutoka rwanda? Kuvamia nchi jirani na kuanzisha vikundi vya uasi ili mataifa jirani yasitawalike?
Mbona umepanic namna hivi? tulia dawa ikuingie.
 
Back
Top Bottom