Wakuu baada ya chadema kuzindua jana mjini, wanazindua leo vijijini.tayari tupo bugabo na watu wamejaa na tayari viongozi wanazungumza.mwenyekiti wa chadema mkoa na mgombea ubunge bkb mjini lwakatare namuona.
Karagwe waliyemuamini na kumpa mikoba ya Chadema anayejulikana kwa jina la Deusdedith Kahangwa inaelekea aliwauzia Chadema mbuzi ndani ya gunia. Its a sad story to give.Vipi mkuu kuhusu Karagwe, mbona sisikii kama kuna Chadema?
Karagwe waliyemuamini na kumpa mikoba ya Chadema anayejulikana kwa jina la Deusdedith Kahangwa inaelekea aliwauzia Chadema mbuzi ndani ya gunia. Its a sad story to give.
Mmmmmhhhhh ndio lakini sijui kama watafanikiwa.Lakini nasikia pia CHADEMA wamekata rufaa mkuu kweye hili