- Thread starter
- #21
Pick up gar ya kaz mkuu usifananishe na gar ndogonaona mnaongelea engine ya mil 3 wakatimkitaa unapata gari nzur tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Pick up gar ya kaz mkuu usifananishe na gar ndogonaona mnaongelea engine ya mil 3 wakatimkitaa unapata gari nzur tu
Anadhani atapata pickup kwa hio bei, yani unakuta pick up imetumikq kinoma ya mda sana ila bei haishuki 15m.