Palestine Will be free
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,999
- 6,630
Mleta uzi vipi? Iniesta c wakumfananisha na Gaucho, Iniesta habari ya mjini., labda kwa kutikisa matako na kukatika uwanjani dinho hajambo
Ahsante. Mkuu.Hapo unalinganisha mbingu Na ardhi!
Gaucho Ni level ya juu sana! Na soka lake lilikuwa Ni la burudani muda wote!!
Ni kama uhaini flani. JF hamna mechanism ya kublock WATOTO.Sio vizuri kumfananisha Gaucho na vitu vya kijinga
Ni kosa kubwa kulinganisha WAAMERIKA na WAULAYA..
N:B
Ingawa namkubali cr7 na namchukia messi coz messi anatesa wenzanke.
unamchukia Messi sababu anatesa wenzakesio iniesta tu hata messi hamfikii gaucho,gaucho habari ingine,anaburudisha na kusaidia timu
Ahahahahahahahahahaha!Ni kosa kubwa kulinganisha WAAMERIKA na WAULAYA..
N:B
Ingawa namkubali cr7 na namchukia messi coz messi anatesa wenzanke.
Gaucho ni fundi wa ajabu
Swali jepesi tu
INIESTA ameshatwaa makombe mangap
Ronaldinho ameshatwaa jumla ya makombe mangap
HAPO NDIO UTAJUA INIESTA WEKA MBAL NA WATOTO
Kama tunazungumzia mbwembwe na udambwidambwi uwanjani basi DUNIANI BADO HAJATOKEA KAMA GAUCHO.
Ila kwa Juhudi na Kucheza mpira wa Kazi, Gaucho ni wa kawaida tu.