Upo sawa mkuu, bei zimeshuka sana, kwa hapo maana yake ukitanguliza 50 Milioni biashara inafanyikaHivi ni mimi tu ndo naona hivyo au ni kweli bei za nyumba zimeshuka siku hizi?
Zimeshuka ee Kuipata hiyo ml70 atajamba cheche?Hivi ni mimi tu ndo naona hivyo au ni kweli bei za nyumba zimeshuka siku hizi?
Mkuu value ya nyumba huwa inategemea na eneo husika.Hivi ni mimi tu ndo naona hivyo au ni kweli bei za nyumba zimeshuka siku hizi?
Siku simba ikichukua kombe unapitiwa na bomoabomoa. Bora ukae kwa watu wa kawaida.Kwa hiyo ulivyosema ipo karibu na ndungai ili iweje