mwanyaluke
JF-Expert Member
- Jan 22, 2015
- 473
- 1,448
leo nimewaza sana, nipo mbali na.nyumbani ,nimefuata biashara huku, nimeacha mji wangu, nipo mbali na watoto wangu, nipo katika nchi ambayo imejaa matukio ya kishamba(matumizi ya bundiki hapa wanaona ni kama ndio akil)
Haya yote nafanya eti natafta pesa, nguvu ninazotumia , akili ninayotumia , hatari ninazokutana nazo ni nyingi na na bado pesa ninayoitaka sipati yote, kutafta pesa ni kugumu sana .
Hivi pesa ingepatikan kama ilivyo ngono maisha yangekuwaje,rahis tu unaomba namba mwanamke anakuja unamfanya unachotak then anaondoka , lakini pesa dah inatutesa unapanga unachemka, unatumia akili na nguvu bado hupati , wengine wanatumia hadi uchawi bad hawapati,vip pesa ingekuwa kama ngono tungeshimiana kweli?
Haya yote nafanya eti natafta pesa, nguvu ninazotumia , akili ninayotumia , hatari ninazokutana nazo ni nyingi na na bado pesa ninayoitaka sipati yote, kutafta pesa ni kugumu sana .
Hivi pesa ingepatikan kama ilivyo ngono maisha yangekuwaje,rahis tu unaomba namba mwanamke anakuja unamfanya unachotak then anaondoka , lakini pesa dah inatutesa unapanga unachemka, unatumia akili na nguvu bado hupati , wengine wanatumia hadi uchawi bad hawapati,vip pesa ingekuwa kama ngono tungeshimiana kweli?