hapo wala hamna presha kuwa nao wote wawili unawagegeda tuu...mwisho wa siku huyo wa sasa atagundua ndio inakuwa bye bye. mwambie huyo ex atume txt za mapenzi tuu alafu gf atazionana ataona bora asepe
hapa sasa kuna kimbembe ila unajua nini? Maisha mafupi mno ndugu yangu halafu wewe ni wakiume embu jarbu kufanya maamuzi yakujenga na sio kubomoa...tena kemea shetani nasema hv mwanamke ulienae sasa ndo wako ule wa janana sio....ACHA TAMAAAAAAAAAAA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.