thehunk
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 533
- 233
inshort ni hivi nilikutana nae tukiwa first year tukaanzisha uhusiano kwa kipindi chote cha shule sasa wakati tunamaliza chuo mwanaume nikaona uhusiano wetu utakuwa kwenye situation nisiyoipenda nayo ni 'mapenzi ya mbali'(regarded na kozi niliyosoma) kutokana na hilo mwanaume nikaanza kujivua taratibu kutoka kwake ili asipate shida wakati ukifika wa kuachana na mimi. nikawa namfanyia mambo yasiyofaa basi kweli mpaka tukaachana na kama nilivyotegemea miezi michache baadae akapata kazi mkoa wa mbali sana najiji nikasjiemea moyoni uanoana sasa tungeishi vip huko mbali kote. maisha yakaendelea tukawa marafiki tu wa kuongea na simu mimi nikapata mwingine nae akaniambia anamwingine na anamtoto na anatarajia kuolewa soon mi sikuwa na hiyana nikampa baraka zangu zote . (kumbe alikuwa ananidanganya) juzi ananipigia simu ananiambia kuwa miezi sita iliyopita alipata uhamisho na kurudi dar ila aliwaambia rafiki zake kuwa wasiniambie kama yupo kwani yeye kweli alikuwa na mshikaji wakazinguana kitambo,hivo anataka turudiana kama zamani kwani hata yeye alikuwa anajua tu kuwa tumeachana koz of distance na sasa si tatizo tena kwani anajua nampenda nae ananipenda na hilo ni kweli sasa tatizo mi nina msichana mwingine ambaye sio siri labda mi nimzingue lakini sioni kosa kwake kabisa na hata nikisema kuwalinganisha kati yao nani niendelee nae kati yao naona huyu wa sasa ndo ana deserve japo moyon naona kama yule wa zaman pia hastahili kutokuwa na mimi kwani tulitoka mbali sana alinisave na nilimsave vitu vingi sana alikuwepo kwenye situation ngumu zaidi ya kufikiria na pia naona kabisa hata nikisema nisiwe na huyu wa zaman posibility ya ku cheat ni kubwa kwani hamna sehem tunayomatch na huyu wa zaman kama kwenye bed,i used to tell her endapo tutaachana atapata shida sana kwenye maswala mazima ya sex na hata mimi mweneyew sometime nammiss ila ujeur tu je nifanyeje niendelee kuwa na huyu wa sasa huku nikijua kuna siku nitacheat (kucheat ni kitu nisichokuwa tayari na kutokukipenda) au nimrudie yule wa zamani niachane na huyu wa sasa japo ataumia sana kwan ana expectations nyingi sana kwangu