Huu uzi una code? Au mimi ndo sijui kusoma?Kuna dingi mmoja makamu alikuwa kiwembe sana akazunguka hadi basi shida ni mtoto mwingine maana alibahatisha mmoja tu.
Sasa kwenye kuzunguka kwake akafanikiwa mwanamke mmoja ambaye kweli alibahatisha kushika mimba .
UBaya ukaja huyu dada ni mke wamtu nayule dada alisema mme wake ni mwanajeshi .
Huyo baba akamtorosha huyo mama nchi na watoto wake 2 maana walikuwa wadogo na wanahitaji mama yao.
maisha yakasonga na mume akatoka kazini aligonga sana hakuna hadi saa moja ndio mama mkwe akaja na ufunguo akamwambia mke wako kasafiri . Ila hakusema kaenda kuzalia huko.
Mwamba hajaamini ....
Akaanza kuuliza uliza unajua wanawake ni watu nyoka sana makenge mno mbwa hawa .
Rafiki yake huyo dada mke wa jeshi akamchomolea mwenzake akampigia misumari yakutosha , basi huyo baba alileta noma kwenye familia yake ila chakushangaza ni mama tu ndio alijua akashangaa nani kamwambia basi .
Huyo mwanajeshi akamfikia mke wake wakaachana kwa amani.
Huyo njemba alikuwa anahela ila hamshindi yule baba.
ILa nusu aue wakwe zake alipogundua ilikuwa mshike mshike .
Yaan 😂😂😂😂😂Km bata anaharisha 😹
Form hukufanya vizuri kama .......Kuna dingi mmoja makamu alikuwa kiwembe sana akazunguka hadi basi shida ni mtoto mwingine maana alibahatisha mmoja tu.
Sasa kwenye kuzunguka kwake akafanikiwa mwanamke mmoja ambaye kweli alibahatisha kushika mimba .
UBaya ukaja huyu dada ni mke wamtu nayule dada alisema mme wake ni mwanajeshi .
Huyo baba akamtorosha huyo mama nchi na watoto wake 2 maana walikuwa wadogo na wanahitaji mama yao.
maisha yakasonga na mume akatoka kazini aligonga sana hakuna hadi saa moja ndio mama mkwe akaja na ufunguo akamwambia mke wako kasafiri . Ila hakusema kaenda kuzalia huko.
Mwamba hajaamini ....
Akaanza kuuliza uliza unajua wanawake ni watu nyoka sana makenge mno mbwa hawa .
Rafiki yake huyo dada mke wa jeshi akamchomolea mwenzake akampigia misumari yakutosha , basi huyo baba alileta noma kwenye familia yake ila chakushangaza ni mama tu ndio alijua akashangaa nani kamwambia basi .
Huyo mwanajeshi akamfikia mke wake wakaachana kwa amani.
Huyo njemba alikuwa anahela ila hamshindi yule baba.
ILa nusu aue wakwe zake alipogundua ilikuwa mshike mshike .
Ndiyo imeisha au umechoka kuandika?Kuna dingi mmoja makamu alikuwa kiwembe sana akazunguka hadi basi shida ni mtoto mwingine maana alibahatisha mmoja tu.
Sasa kwenye kuzunguka kwake akafanikiwa mwanamke mmoja ambaye kweli alibahatisha kushika mimba .
UBaya ukaja huyu dada ni mke wamtu nayule dada alisema mme wake ni mwanajeshi .
Huyo baba akamtorosha huyo mama nchi na watoto wake 2 maana walikuwa wadogo na wanahitaji mama yao.
maisha yakasonga na mume akatoka kazini aligonga sana hakuna hadi saa moja ndio mama mkwe akaja na ufunguo akamwambia mke wako kasafiri . Ila hakusema kaenda kuzalia huko.
Mwamba hajaamini ....
Akaanza kuuliza uliza unajua wanawake ni watu nyoka sana makenge mno mbwa hawa .
Rafiki yake huyo dada mke wa jeshi akamchomolea mwenzake akampigia misumari yakutosha , basi huyo baba alileta noma kwenye familia yake ila chakushangaza ni mama tu ndio alijua akashangaa nani kamwambia basi .
Huyo mwanajeshi akamfikia mke wake wakaachana kwa amani.
Huyo njemba alikuwa anahela ila hamshindi yule baba.
ILa nusu aue wakwe zake alipogundua ilikuwa mshike mshike .
Dah!! Sijalewa, siumwi na wala sina dozi yoyote lakini nimeshindwa kuelewa kitu. Nimetoka kapaKuna dingi mmoja makamu alikuwa kiwembe sana akazunguka hadi basi shida ni mtoto mwingine maana alibahatisha mmoja tu.
Sasa kwenye kuzunguka kwake akafanikiwa mwanamke mmoja ambaye kweli alibahatisha kushika mimba .
UBaya ukaja huyu dada ni mke wamtu nayule dada alisema mme wake ni mwanajeshi .
Huyo baba akamtorosha huyo mama nchi na watoto wake 2 maana walikuwa wadogo na wanahitaji mama yao.
maisha yakasonga na mume akatoka kazini aligonga sana hakuna hadi saa moja ndio mama mkwe akaja na ufunguo akamwambia mke wako kasafiri . Ila hakusema kaenda kuzalia huko.
Mwamba hajaamini ....
Akaanza kuuliza uliza unajua wanawake ni watu nyoka sana makenge mno mbwa hawa .
Rafiki yake huyo dada mke wa jeshi akamchomolea mwenzake akampigia misumari yakutosha , basi huyo baba alileta noma kwenye familia yake ila chakushangaza ni mama tu ndio alijua akashangaa nani kamwambia basi .
Huyo mwanajeshi akamfikia mke wake wakaachana kwa amani.
Huyo njemba alikuwa anahela ila hamshindi yule baba.
ILa nusu aue wakwe zake alipogundua ilikuwa mshike mshike .
Tuliooa ndio kwanza tunashangaaInaonyesha hii mada wataelewa waliooa tu...🤣
Nani kaelewa..?!!!Write your reply...yanga bingwa
😂😂😂 Kweli nimeamini kama ukiwa haujui ni haujui tu. Sasa watu wote hawa wanaongea lugha moja ya kutoelewa uzi unahusiana na vitu gani.Soma tena ulichoandika
Dawa gani sasa 🤣🤣🤣🤣Leo hujanywa dawa..!!
Kaandika ushogaNani kaelewa?
Hadithi njoo uuongo koleaNani kaelewa?
Mimi kichaa poqNinachoomba kusema hapa, nikuishauri serikali kupitia wizara ya elimu,kuwa tuongeze jitihada katika ufundishaji wa uandishi bora ili wahitimu waweze japo kuandika ata Aya mbili zenye kuleta maana.
Maana hii ni hatari sasa kwa afya ya akili.